Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,254
Masahihisho kwenye mzunguko linaweza
Bibiye upo? Jukwaa la siasa umeadimika sana, au umestaafu na awamu ya nne?Amani Msumari umekumbana na msonobari naona umejichimbia kaburi, ulikuja kwa kiburi umeondoka kwa tahayuri.
Kiranga,Mzee Aziz Ali alipofariki watoto wake walikuwa na kesi kubwa sana ya kugombea urithi.
Sasa kama alifilisika ile kesi kubwa ya kugombea urithi walikuwa wanagombea nini?
Kigoda cha baba?
Alilazimishwa kupigania uhuru wa Tanganyika?Kiranga,
Aziz Ali amefariki 1951.
Hapa tunamzungumza mwanae Dossa Aziz.
Dossa alifariki 1998.
Mwaka gani hiyo kesi ilikuwa?Mzee Aziz Ali alipofariki watoto wake walikuwa na kesi kubwa sana ya kugombea urithi.
Sasa kama alifilisika ile kesi kubwa ya kugombea urithi walikuwa wanagombea nini?
Kigoda cha baba?
Mohamed Saidi anasema alizikwa Mlandizi.Namkumbuka mzee mmoja humu wa kuitwa mohamed SAID akiandika alichokiita historia ya wazee wake wa sijui Gerezani au Kariakoo ndiye aliyekuwa analalamika sana kuhusu Dossa Aziz kufilisika na kufa maskini akiishia kuzikwa kwao Bagamoyo bila aliowafadhili kuhudhuria.soon atakuja kukuparura ktk post yako hii maana waonyesha upo against nae....utaniambia!
Asili yao kwanza navyojua mimi ni watu wa Tanga siyo Pwani.Namkumbuka mzee mmoja humu wa kuitwa mohamed SAID akiandika alichokiita historia ya wazee wake wa sijui Gerezani au Kariakoo ndiye aliyekuwa analalamika sana kuhusu Dossa Aziz kufilisika na kufa maskini akiishia kuzikwa kwao Bagamoyo bila aliowafadhili kuhudhuria.soon atakuja kukuparura ktk post yako hii maana waonyesha upo against nae....utaniambia!
Hakuna aliyepigania uhuru wa nchi kwa maana ilikuwa imefikia muda lazma ukoloni ubadilike na uje ukoloni mamboleo so acha kujidanganyaNa wao hawakufanya ili muwalipe walifanya kwa Lango la nyie vitoto vyenye ufedhuli mje kula mema ya nchi yenu
Kiranga,Alilazimishwa kupigania uhuru wa Tanganyika?
Eric Cartman,Asili yao kwanza navyojua mimi ni watu wa Tanga siyo Pwani.
Halafu Dossa Aziz akufa maskini aliacha assets kadhaa wanawe wakaleteana fujo. Na Nyerere aliwapa vyeo wengine serikarini wakiwa makamishna wa polisi etc. Mohhammed Said saa zingine anaweka porojo kutokana na personal vendetta aliyonayo na Nyerere.
Kweli bora niache.Eric Cartman,
Unataka kujadili kitu usichokijua.
Sasa kwa nini hii ya kufilisika iwe issue?Kiranga,
Hapana hakuna binadamu anaelazimishwa kujitoa utumwani.
Ni silka ya utu kupenda kuwa huru.
Kuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
DOSSA ‘’The Bank’’ AZIZ:Kiranga,
Inakupandisha "issue," kutoka na nä historia ya Dossa katika TANU nä kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kwa sababu ya watu waongo kama wewe. Kajisome juu huko ulivyotudanganya na hata ukiposhushuliwa wewe bado tu umeng'ang'ania kuulizia mashudu bucha!Sasa kwa nini hii ya kufilisika iwe issue?
Muongo ni neno kubwa.Kwa sababu ya watu waongo kama wewe. Kajisome juu huko ulivyotudanganya na hata ukiposhushuliwa wewe bado tu umeng'ang'ania kuulizia mashudu bucha!
Wewe ni muongo tu usitake kujibaragua saa hizi.Muongo ni neno kubwa.
Umenivunjia heshima na hujajibu swali langu.
Unaweza kuthibitisha kwamba mimi muongo?
You don't want it with me, I don't do it, I overdo it.