Habari wakuu,
Nilipokuwa mdogo kuna jambo lilikuwa linanitokea mimi pamoja na wadogo zangu na hata watoto wa majirani au ndugu wa karibu. Mara kwa mara unalala usiku ukiamka asubuhi unajikuta kuna alama kama umechomwa na moto (kovu jeusi) lakini husikii maumivu pale ulipochomwa.
Wazee wetu walikuwa wakituambia kwamba tumechomwa na mizimu usiku. Imenitokea mara nyingi sana utotoni nikiwa shule ya msingi. Kuna yeyote humu jamvini alishawahi kupatwa na jambo kama hili na labda kuna maelezo mengine ya kinachosababisha jambo hili?
Nilipokuwa mdogo kuna jambo lilikuwa linanitokea mimi pamoja na wadogo zangu na hata watoto wa majirani au ndugu wa karibu. Mara kwa mara unalala usiku ukiamka asubuhi unajikuta kuna alama kama umechomwa na moto (kovu jeusi) lakini husikii maumivu pale ulipochomwa.
Wazee wetu walikuwa wakituambia kwamba tumechomwa na mizimu usiku. Imenitokea mara nyingi sana utotoni nikiwa shule ya msingi. Kuna yeyote humu jamvini alishawahi kupatwa na jambo kama hili na labda kuna maelezo mengine ya kinachosababisha jambo hili?