Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,363
- 5,110
Kuna hali uwa inanitokea wakati nimelala sijui uwa inasababishwa na nini uwa natafakari sana na kukosa majibu.
Kuna wakati naweza kua nimelala unasikia kama umebanwa unatamani kujitingishwa huwezi,kuongea huwezi kunyanyuka huwezi afu inapotea unarudi katika hali ya kawaida.
Leo usiku imenitokea tena nashindwaga kuelewa ni kitu gani au jinamizi.
Mara nyingi nikipatwaga na hii hali uwa nakiri jina la Yesu na kukemea kimoyomoyo ndo hii hali uwa inaisha sababu uwezo wa kufungua kinywa au kujitingisha uwa nakosa.
Usiku wa kuamkia leo niliona kama mkono wa mtu kabisa uliokua anapambana na mimi kunishikilia kichwa ila baada ya kukiri jina la Yesu umeshindwa.
Kuna siku ilitokea nilikuta nguo zangu nilizovaa kazini zimehamishwa sehemu nilikoziacha na kuchukua pesa zangu ndani manake ni kama niliibiwa.
Nimepatwa na hii hali tena usiku wa kuamkia leo nimeua nyoka nje na ndani kwangu.
Naomba kuuliza hili jambo nanyinyi uwa linawatoekea? Je, lina uhusiano na uchawi au nguvu za giza?
Kuna wakati naweza kua nimelala unasikia kama umebanwa unatamani kujitingishwa huwezi,kuongea huwezi kunyanyuka huwezi afu inapotea unarudi katika hali ya kawaida.
Leo usiku imenitokea tena nashindwaga kuelewa ni kitu gani au jinamizi.
Mara nyingi nikipatwaga na hii hali uwa nakiri jina la Yesu na kukemea kimoyomoyo ndo hii hali uwa inaisha sababu uwezo wa kufungua kinywa au kujitingisha uwa nakosa.
Usiku wa kuamkia leo niliona kama mkono wa mtu kabisa uliokua anapambana na mimi kunishikilia kichwa ila baada ya kukiri jina la Yesu umeshindwa.
Kuna siku ilitokea nilikuta nguo zangu nilizovaa kazini zimehamishwa sehemu nilikoziacha na kuchukua pesa zangu ndani manake ni kama niliibiwa.
Nimepatwa na hii hali tena usiku wa kuamkia leo nimeua nyoka nje na ndani kwangu.
Naomba kuuliza hili jambo nanyinyi uwa linawatoekea? Je, lina uhusiano na uchawi au nguvu za giza?