webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Wadau,
Leo bungeni Naibu spika, ametoa malalamiko yake kwa wananchi wa iringa hususani wa jimbo la iringa mjini juu ya NIDHAMU mbovu anayoionyesha mbunge wao msingwa.
Swali langu ni je, ni nani kampa msigwa UCHUNGAJI, mbona matendo yake hayafanani na hiyo title yake?
Hii ni hoja dhaifu kuijadili, jipange uje na hoja nyingine.