cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
basi my deAREST mwenyewe uliyenionyesha mji nikae kimya! lol ila ramani sifwati hata kidogo!shoga sentensi huelewi basi fwata hata ramani jamani. sija kashfu atii.
basi my deAREST mwenyewe uliyenionyesha mji nikae kimya! lol ila ramani sifwati hata kidogo!shoga sentensi huelewi basi fwata hata ramani jamani. sija kashfu atii.
Mweeee mweeeee mweeeee!Cantalisia naomba uache umbea utaja sutwa kama Bishanga ohoooo........tena usikubali kabisa kuingizwa kwenye maswala haya mazito ya mapenzi. Niache na ndoana zangu....lol
Kwa lugha nyepesi Cantalisia atakuwa kashaelewa somo. Topiki klozdi! Kam zis way Yummy my sugar.
Hivi we hujioni tu bado uko juuuuuuu.......mwenzako ana watatu wewe huyo mmoja ni kama wanne wake!
Haya tangaza sasa, umegundua Yummy ni mali ya nani?
Wife cacico bana, inamaana Robert Mboya hujawahi kumwona? Haya huyu hapa. waite na wake wenzio BADILI TABIA na Yummy chini ya usimamizi wa Kongosho waje wamwone wasijeingia mkenge.oa kila nikupeamo pango lako ujifiche we oa tu! lol, kwani na wewe ni ROBERT MBOYA?? KHAAAAAA! ukipata picha ya robert tuwekee hapa, najua album yako ina mafoto ya kufa mtu, khaaaaaa!
u[p besteee?? mzima weye?unisomi kwenye rada! basi rada yako haikamati vizuri! ongeza transista na kapasta zenye nguvu utanisoma shosti.
THATS MY WIFE, AFU HEBU NAMBIE LEO JUMANGAPI?nimestuka siku nyingiiiiiiiii hubby, shaka ondoa! lol, morning hubby!
Hahahaha.... Unanionea bure jamani, sasa mi nifanyeje kama napendwa na hawa warembo?Asprin umekaa king ono ng ono tu.
u[p besteee?? mzima weye?