Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Wakulu wasalaam,
kama mnavyojua kesho ni sikukuu yetu wakulima. Nyie wafanyakazi kesho eti mtapumzika wakati sie tutaenda shambani kulima kama kawaida......... Very unfair.
Kama mjuavyo vijana wengi hamjishughulishi kwa kilimo. Sie wazee tunaoshika jembe tumeamua kesho tuungane na nyie.... hakuna kufanya kazi. Na tumedhamiria kutoka bomba kujumuika nanyi kaunta kusheherekea siku yetu.
Kama kawa tushakamata viwalo vya kutokea.... Eti mwaweza niambia nani ametoka bomba zaidi??
Je ni Bishanga??
Au Mzee mwenzangu Dark City?
Yawezekana akawa mzee kijana Kaizer?
Au ni mimi mwenyewe ODM mwenye wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho??
Shindano hili linadhaminiwa na kiongozi BAGAH ambaye amenambia mshindi atazawadiwa kreti moja la bia na kulipiwa ruum gesti ili ajivinjari na mmojawapo kati ya mabinti wafuatao ambao wamesharidhia watatoa burudani bila kinga: charminglady, Cantalisia, princess enny, ummu kulthum, sweetlady na Catherine.
Msimamizi wa uchaguzi ni Erickb52 akisaidiwa na KARIA.
Karibuni mnipigie kura.
(JAMANI NAOMBENI KURA ZENU)
kama mnavyojua kesho ni sikukuu yetu wakulima. Nyie wafanyakazi kesho eti mtapumzika wakati sie tutaenda shambani kulima kama kawaida......... Very unfair.
Kama mjuavyo vijana wengi hamjishughulishi kwa kilimo. Sie wazee tunaoshika jembe tumeamua kesho tuungane na nyie.... hakuna kufanya kazi. Na tumedhamiria kutoka bomba kujumuika nanyi kaunta kusheherekea siku yetu.
Kama kawa tushakamata viwalo vya kutokea.... Eti mwaweza niambia nani ametoka bomba zaidi??
Je ni Bishanga??
Au Mzee mwenzangu Dark City?
Yawezekana akawa mzee kijana Kaizer?
Au ni mimi mwenyewe ODM mwenye wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho??
Shindano hili linadhaminiwa na kiongozi BAGAH ambaye amenambia mshindi atazawadiwa kreti moja la bia na kulipiwa ruum gesti ili ajivinjari na mmojawapo kati ya mabinti wafuatao ambao wamesharidhia watatoa burudani bila kinga: charminglady, Cantalisia, princess enny, ummu kulthum, sweetlady na Catherine.
Msimamizi wa uchaguzi ni Erickb52 akisaidiwa na KARIA.
Karibuni mnipigie kura.
(JAMANI NAOMBENI KURA ZENU)
Last edited by a moderator: