Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hahaha hahaha hahahah,
Hyu wa mwisho aliyevaaa bluu bluu na kiatu cheusi hpe atamfaa shemeji yangu Kaizer lol!
Last edited by a moderator:
Hahaha hahaha hahahah,
raha ya mke mdogo Cantalisia, ila wenzangu wote wananipenda, kwa kifupi tunapendana, tutakualika kwenye 5some yetu sikumoja uonje hiyo makitu! Kongosho ndiye mama mkubwa kwetu, anatupendajeeeeeee?? na siye pia twampendajeeeeee?? lol
Hahha hahaha hahhhah,Cantalisia tuna league nae kwenye issue ya Yummy
anasema mimba ya Yummy ni ya kwake wakati mimi napinga Asprin analijua hilo ndo maana simpi kura yangu
karibu sana aise tulikumiss sana kama AshaDii nae alivyopotea
raha ya mke mdogo Cantalisia, ila wenzangu wote wananipenda, kwa kifupi tunapendana, tutakualika kwenye 5some yetu sikumoja uonje hiyo makitu! Kongosho ndiye mama mkubwa kwetu, anatupendajeeeeeee?? na siye pia twampendajeeeeee?? lol
raha ya mke mdogo Cantalisia, ila wenzangu wote wananipenda, kwa kifupi tunapendana, tutakualika kwenye 5some yetu sikumoja uonje hiyo makitu! Kongosho ndiye mama mkubwa kwetu, anatupendajeeeeeee?? na siye pia twampendajeeeeee?? lol
Wife, eti Cantalisia kakuelewa au bado nimwambie mwenyewe?
Babu Asprin kashaapewa vidonkge kule na Yummy
Babu Asprin kashaapewa vidonkge kule na Yummy
niko nae hapa roho swafi kabisa Cantalisia we acha tuu raha ta kuw ana mke ni kubwa sana aise haswa mke mwenyewe Yummy
Cantalisia kibuti kimelia kwa nguvu mpaka kule mabwepande wamesikia wale jamaa wanaotoa kucha na meno
wivu sina mieeeeeeeeeeee....
kura zote nampigia hubby wangu Asprin.....
nitarudi baadae kutangaza matokeo kwa mamlaka niliyopewa na jamhuru ya watu wa jamiiforums.... naelekea jukwaa la stress kidogo
Cantalisia kibuti kimelia kwa nguvu mpaka kule mabwepande wamesikia wale jamaa wanaotoa kucha na meno
nafikiri babu Asprin huko aliko ana bp na shell na total na oil com na mount meru na camel kwa mkupuo
hubby wacha mie nikae kimya, ila nimjuavyo Yummy hawezi kubali kirahisi! lolUzuri huwa siongeagi mimi. Yummy ukiambatana na wenzio BADILI TABIA na cacico hebu mkuje pande hii mkiri au mkanushe huu uvumi.
umeona eeee Cantalisia! tena ni bonge la player kwenye 5some yetu, huwa anacheza centre, chezeiya Kongosho weye?
yetoniiiiii hubby, amenielewa mbona??Wife, eti Cantalisia kakuelewa au bado nimwambie mwenyewe?