Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Wakuu heshima yenu.
Naombeni msaada kwa wale wenye kujua tunda hili la nanasi linapandwa au kuoteshwa vipi? maana embe inapandwa mbegu yake (kokwa), chungwa unapanda zile mbegu zake, ndivi najua unapanda machipukia yake yanayozidi kuchipua. lakini sifahamu
hili zao la nanasi mbegu yake ni nini?
Msaada plz
Naombeni msaada kwa wale wenye kujua tunda hili la nanasi linapandwa au kuoteshwa vipi? maana embe inapandwa mbegu yake (kokwa), chungwa unapanda zile mbegu zake, ndivi najua unapanda machipukia yake yanayozidi kuchipua. lakini sifahamu
hili zao la nanasi mbegu yake ni nini?
Msaada plz