mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Hapana mkuu KIPIPI, nawashukuru wana jf wote kwa ushauri wao mzuri. Siwezi kwenda kinyume na ushauri wa watu zaidi ya 50 hadi sasa wenye mauzoefu ya maisha. Mmeiokoa ndoa yangu kwa kuwa nimegundua it is wrong to do that. Nitakuwa makini sana jameni, kama ni kampani yangu kwake itakuwa tu ni ya mambo mengine na siyo umegaji wa Tunda. MUNGU AWABARIKI SANA. Viva jf
wewe unaovyoongea unaonekana kabisa ukitoka hapa unaenda kula tunda sina imani nawe hata kidogo