namuonea huruma wifi yangu

Ushaota vu.zi so tafuta mmeo uachane na kaka yako, zee zima linakaa. Kwa kakake.
 
Sasa unataka uongee na wifi yako nin? Mwenye tatizo si kaka yako? Sema nae umwambie anayofanya si vizuri abadilike! Kumwambia wifi yako haitasaidia na italeta mgogoro bure
 
mambo ya ndoa ya kaka yako yaache hivyo hivyo wala hupaswi kuyaingilia ww endelea na mambo yako kama ni ukweli ipo cku huyo wifi yako ataujua tu.
 
kaka yangu ni player kwa kutupwa wifi akisafiri anateta wanawake hadi ndani, mkewe ana nyodo sana anajifanya mjuaji anadharau na hapendi kuongea. Mungu anisamehe sometimes nataman kumwambia uplayer wa mumewe but nahisi ntavunja ndoa yao ingawa roho nyingine inaniambia yeye si anajiona matawi mwache atendeke. Jaman what is the right thing to do?
sasa kama una maamuzi untaka nini huku??

krapppp
 
Ndoa ya kaka yako iache kama ilivyo, wanajuana wenyewe. Wacha afahamu mwenyewe au aambiwe na wengine.
 
Na angekuwa ni wifi yako anamfanyia kaka yako ivyo, analeta wanaume analala nao kwenye kitanda cha kaka yako ungefanyaje?
Tafakari Chukua Hatua mama!
 
The right thing yo do?
Get a life! Kama unakaa kwa kakako jipange uhame ili uache kumchukia wifiyo. Wivu wa kiwifi unakusumbua. Wewe una mume ama bf? Umeshamchunguza vya kutosha?
kaka yangu ni player kwa kutupwa wifi akisafiri anateta wanawake hadi ndani, mkewe ana nyodo sana anajifanya mjuaji anadharau na hapendi kuongea. Mungu anisamehe sometimes nataman kumwambia uplayer wa mumewe but nahisi ntavunja ndoa yao ingawa roho nyingine inaniambia yeye si anajiona matawi mwache atendeke. Jaman what is the right thing to do?
 
kaka yangu ni player kwa kutupwa wifi akisafiri anateta wanawake hadi ndani, mkewe ana nyodo sana anajifanya mjuaji anadharau na hapendi kuongea. Mungu anisamehe sometimes nataman kumwambia uplayer wa mumewe but nahisi ntavunja ndoa yao ingawa roho nyingine inaniambia yeye si anajiona matawi mwache atendeke. Jaman what is the right thing to do?

subiri na utaambiwa uplayer wa mmeo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom