TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Magume gume kama wewe huwa mnavunja ndoa/mahusiano ya watu zawadi ni zawadiYaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti
Magume gume kama wewe huwa mnavunja ndoa/mahusiano ya watu zawadi ni zawadiYaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti
Chabo nyingine angalia utapofuka.
Mi niko ok. sijui pande za kwako.
aaaah wapyii! macho yana googles za kufa mtu haya.
mie niko poa kimtindo.
Yaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti
mie natembelea progress siku hizi.Pole sana.
Ndio gharama ya serikali ya mapinduzi inapogeuzwa serikali ya umoja wa kitaifa.
Kama vipi nikuhongepo na ka Vitz.
Hee hivi duniani waungwana kama nyie bado mpo??? Mungu akujalie uwaelimishe "binadamu" wenzetu kwenye hili.kupewa kitu,hiyo ni zawadi tosha,haijalishi hicho kitu kina thamani gani.uachane na mtu kwa kuwa kakupa kitenge?ha i make sense.mambo ya kutegemea mambo makubwa kwa mwenzako haifai.tafuta kwa nguvu zako.
Seconded mkuu!
Unawekeza TBL mtimanyongo ukikushuka unakamata baamedi, buku tano tu unamtoa.
Hii siyo karne ya kuhongea K wakati zimejaa tele mtaani free of charge.
Ha ha haaaaaa! Asprin sijakusoma siku nyingi! Habari za Martenity Ward. Wakupe wewe hicho kitenge kama hawakitaki upelekee mama ng'aa huko Martenity Ward .
Yaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti
Yaani Dunia ya Leo zawadi kanga nimemwambie amrudishie na ampige kibuti