Namuona Amos Makalla akichua mikoba ya Makonda na John Mongela akichukua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Anamringi Macha!

Huu ulikuwa utabiri ama wewe upo Lumumba jikoni kabisa?

Hebu tujibu ili htuanze kukufuatilia
 
Ally happy mtoto wa Nzega
Hussein Bashe mtoto wa Nzega
Bashe kapambana Ili Ally happy apate teuzi kwenye chama au serikalini ili asipate mpinzani mkali kwenye ndani ya chama Kwenye ubunge nzega mjini 2025.....Msomali muoga sana!
 
Hapo sasa hatutaona tena akipost matenga ya nyanya na pilipili hoho kwa kujifanya mkulima hodari,kumbe akitafta huruma ya bimkubwa wake!🤣😂
 
heli james hamna kitu kalikuwa kanapata kibur kwa mjomba yake magu , utendaji pale sifuriiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom