habari zenu humu..
wiki kadhaa zilipitia kuna dada mmoja alikuwa anatafuta wanajamii wanao ishi arusha...sasa natafuta ile post sijaipata nilikuwa naomba msaada ili nipate username yake na kuanzisha mawasiliano....naombe msaa wa jinsi yakuipata hiyo post yake na hivyo username yake.
wiki kadhaa zilipitia kuna dada mmoja alikuwa anatafuta wanajamii wanao ishi arusha...sasa natafuta ile post sijaipata nilikuwa naomba msaada ili nipate username yake na kuanzisha mawasiliano....naombe msaa wa jinsi yakuipata hiyo post yake na hivyo username yake.