hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
Jamani mimi nina mpenzi wangu ambaye tunapendana sana lakini tatizo yeye huwa na hasira za karibu sana. Yaani naweza nikamkosea kitu kidogo halafu yeye akaninunia siku nzima,kuna wakati mpk inafkia wakati namwambia ni bora tuachane but ye anadai kuwa ananipenda sana na hawezi kuniacha.... Nimejitahidi kila njia kumfanya asiwe anakasirika na kununa nuna lakini nimeshindwa, nilikua naomba mnishauri nimfanyie kitu/vitu gani ili asiwe na tabia hii coz mm binafsi siipendi hlf ukizingatia yeye nampenda sana. Naomba msaada wenu jamani.