Kumtokea rafiki wa kike wa dada yako ni mbaya?.Coz nimetokea kmpenda rafiki wa dada yangu but naona noma kemtemea madini nahic sister anaweza nifikiria vibay,Nifanyeje wa kubwa.
Kumtokea rafiki wa kike wa dada yako ni mbaya?.Coz nimetokea kmpenda rafiki wa dada yangu but naona noma kemtemea madini nahic sister anaweza nifikiria vibay,Nifanyeje wa kubwa.
How old are you son? Go for it son, afterall she'll not tell trust me. For the sis, she'll jump and roll with joy knowing that the bro is a man!
Jiandae na wewe kuwaita rafiki zako shemejiiii.
Kwani huyo dadako ni mama wa huyo binti hata achukie, ikiwa nae binti kakuzimikia issue ya dadako ni ndogo sana to deal with
Katika tamaduni zetu ndugu ndiye anayeweza kuwa na mjadala, rafiki wa dada?
Najua kutegemea na mahusiano uliyo na dada yako, rafiki wa dada anaweza kuchukua muonekano kama wa dada, lakini si dada.
Mbona mara nyingi katika jithada za kupata mtu anayejulikana tabia yake vizuri huo uhakika wa rafiki wa dada unahusika sana, maana anakuwa mtu ambaye kashapata ukaribu na familia hata kabla ya kujua matunda ya mahusiano hayo, na hivyo kutoa nafasi ya kumjua tabia yake vizuri pasipo na tamalaki la mahusiano ya jinsia tofauti ambalo linaweza kuleta ubalozi usio na uhalisia.
Kuna nyumba nyingi sana ambazo dada akiona kaka anazembea au kashupalia habari nyengine, na kuna rafiki anayestahili kwa taadhima zote anaweza kabisa kufanya mambo yanayoshauriwa na makungwi wote werevu kuwaweka pamoja pasipo muonekano wowote wa kufanya hivyo.