AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Mimi nafikiri huyu jamaa anafanya tu utani.... siamini kabisa kama mtu anaweza kuwa University halfu aandike hivyo....hapana! Ameamua kufurahisha jamvi, au ni amemaliza tu std seven!
Karen wee adimu saana.... naomba nikujulie hali... mzima wewe??
Alafu on second thot.... hicho kiingireza kama kamaliza stnd 7 gramma iko hivyo kielimu tuko wapi jamani....