To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,470
- 66,399
Achana naeHuyu hanamsimamo
Achana naeHuyu hanamsimamo
Hata huyu sawa tu ila huyu ananiringia
Ndio nimeamua kumuachaAchana nae
Unatukandia sana.😂😂😂humu hutakiwi kuwa na mpenz cute....utaumia kilasiku
Zipi tena jamaniUnatukandia sana.
Sifa zote nilizokumwagia mchana hujaona?
Hebu pitia basi ujibu?
Unahitaj tulizo la roho mbona kuna wengi wan vitambi😀 wanaume wote hawaHata huyu sawa tu ila huyu ananiringia
Nilimpenda yeye sana ila hajanipenda hivyo nilivyompenda ila ataonaUnahitaj tulizo la roho mbona kuna wengi wan vitambi😀 wanaume wote hawa
Pekua utaona kuna uziZipi tena jamani
Pambana na Hali Yako mkuuSisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
SawaPekua utaona kuna uzi
Bado unahonga kiepe tu mkuuUmeshachakatwa na kuachwa tayari, ukuje huku nikupoze na kiepe yai
Mwakani ndoaPambana na Hali Yako mkuu
Mwachee best yangu
Ukizidiwa nicheki mi nipo tu sina ramani mamsapHahaaa walahi ni zamani
Wacha,hayaUkizidiwa nicheki mi nipo tu sina ramani mamsap
We olewa tuMwakani ndoa
NilimpendaWe olewa tu
Ukiukalia wa bwana ako ni sawa sawa umeukalia wa ex wako