Ndiyo Fox gani hilo! Mi naogopa ma Fox.!
Faiza,kwahiyo unadhani labda ninawaonea wivu kwasababu nimekutamani wewe?Lol!Pendo lawasikitisha, linawa wakata maini.
Hivi kwani Faiza hapo kwenye avatar ni wewe?Endelea tu kunipenda, Binaadam ni kupendana. Hiyo simu yako itakuwa inanuka mate vibaya sana, pole.
Elia said:Unataka kuniambia kumpenda mtu mpaka mcheze nae kombolela Sikiliza wimbo huu "I knew i loved u before i met u" wa Savage Garden... labda utakufungua kdg
Jiulize maswali tena labda utaona wapi umeshindwa kuelewa.Jmushi1 said:Umevutiwa naye kimapenzi ama kihoja?
Hivi utampenda vipi mtu usiyemjuwa?
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,