Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Jamani samahanini sana wale wa miaka ya nyuma kuna jamaa km sikosei anatokea Mkoa wa Tanga alikuwa USA Wiscosin akamuagiza dada yake aende huko, akatembea naye (akambaka) walipoitoa mimba, Binti Mwivano akafariki (sijui aliuawa) Kaka mtu akamtenganisha na kwenda kumtupa mtoni, wapelelezi wa huko wakagundua tukio zima na kumhukumu. Alikata rufaa (Bw Kupaza) kuwa sio yeye je alitoka na yupo wapi siku hizi?