namba ya simu

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Baada ya story za hapa na pale na
kufahamiana kiaina...

Jamaa; Naomba basi namba yako ya simu..

Mdada; ya kazi gani?

Jamaa; nataka niipambe kwenye
phonebook yangu

Mdada; sina simu..

Jamaa; mbona mi sijakuomba simu? Mi nahitaji namba hiyo simu sina shida nayo...
 
Back
Top Bottom