Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,891
- 6,902
Kuweka namba ya Zitto ni sawa tu na kusema afande mshuti unapofanya ugaidi ili kujenga hisia kuwa aliyetenda hilo tendo ni fulani.
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, atawafuata masalia wenzake. Kuna kitu ambacho si wazi kwa mwanasiasa kama Zitto asitishe kugombea ubunge kule kigoma kupitia Chadema, huenda ana alikuwa na mpango wa dakika za mwisho kuitifua Chadema kwa kuhamia chama kingine cha siasa hasa NCCR Mageuzi. Haya yalishasemwa hapa.