Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Hili swala la Rwekatare linavyoendelea, kuna dalili zile za ndege mjanja kunaswa katika tundu bovu. Kutunishia mishipa namba yake ya simu ambayo labda katika masuala ya uchunguzi imeonekana kuhusika na yeye asema hajaitumia kwa muda kadhaa, kwa nini asiache uchunguzi ufanywe ili kubaini ukweli? Zitto anahofia nini kama namba hiyo haijatumika?
Bungeni Zitto hakuonyesha jitihada zo zote kutetea suala hilo, ni pale alipomwandikia tu Katibu Mkuu barua ya kuaka Rwekatare aachishwe ili kupisha uchunguzi.
Bungeni Zitto hakuonyesha jitihada zo zote kutetea suala hilo, ni pale alipomwandikia tu Katibu Mkuu barua ya kuaka Rwekatare aachishwe ili kupisha uchunguzi.