Namalizaje mtihani wa pure Math (Advance level)?

Mgaigai

Member
Nov 20, 2021
44
67
Wakuu habari zenu,kwa wale waliosoma combination zenye Mathematics (EGM,PGM,PCM).Paper ya pure mlikuwa mnatumia mbinu gani kumaliza?

Najitahidi kukaza fuvu na hata kuongeza speed Ila siimalizagi.Muda huwa ni masaa mawili na nusu.
 
Advance unapata wapi muda wa kushika simu na kuingia social networks. Ongea na watu walioko hapo ulipo. Huku watu wameshasahau hicho unachoulizia. Wako hatua ya mbali kimaisha. Cha kwanza achana na simu,komaa na kitabu. Advance watu walikosa muda wa kula wewe mpaka muda kuweka bando na kushika Simu unao naa unatagemea kumaliza maswali. Ulizia wanaomaliza wenzako ndio Siri ilipo ama wote hapo hammalizagi.
 
Hapo mbinu ni kufanya mazoezi tu ya kumanage muda, jiwekee limit mimi hiyo paper ya masaa 3 nilikuwa najipa 2hrs na namaliza!
Mara nyingi wengi huwa wanafeli kwenye speed, ukishaweza hapo umetoboa! So jiwekee ratiba angalau kila siku unakuwa na masaa yako mawili ya kupractice speed!
 
Advance unapata wapi muda wa kushika simu na kuingia social networks. Ongea na watu walioko hapo ulipo. Huku watu wameshasahau hicho unachoulizia. Wako hatua ya mbali kimaisha. Cha kwanza achana na simu,komaa na kitabu. Advance watu walikosa muda wa kula wewe mpaka muda kuweka bando na kushika Simu unao naa unatagemea kumaliza maswali. Ulizia wanaomaliza wenzako ndio Siri ilipo ama wote hapo hammalizagi.
Hata mi nashangaa,Mimi nilisoma Bam Ila sikupoa,nisiposoma kulingana na ratiba Basi Bora nikalale ili ule mda niufidie badae kichwa kukiwa kimetulia
 
Wakuu habari zenu,kwa wale waliosoma combination zenye Mathematics (EGM,PGM,PCM).Paper ya pure mlikuwa mnatumia mbinu gani kumaliza?

Najitahidi kukaza fuvu na hata kuongeza speed Ila siimalizagi.Muda huwa ni masaa mawili na nusu.
Maths Ina short cut zake ,kama unakariri utaendelea kupoteza muda mwingi,mfano tuma swali mimi nifanye na wewe ufanye nikuonyeshe short cut
 
Kanuni ile ile anza na Maswali rahisi yenye marks kubwa, vyema utumie hata masaa mawili kujibu nusu ya Maswali unayoyaelewa then ukimaliza hapo unavuruga vuruga bora liende kwa yaliyobakia.
 
Sio lazima ufanye maswali yote, sisi tuliosoma advanced mathematics a level miaka hiyo tulikuwa tunaangalia na kusort maswali ya msingi, tunatembea nayo hayo. Huwezi kumaliza maswali yote.
 
Sio lazima ufanye maswali yote, sisi tuliosoma advanced mathematics a level miaka hiyo tulikuwa tunaangalia na kusort maswali ya msingi, tunatembea nayo hayo. Huwezi kumaliza maswali yote.
Mkuu kumbe ulisoma adv. Mathematics?

Aisee 🤣🤣🤣 sikuwahi dhania kwa kweli. Nilidhani we ni form 1 leaver kisa madawa ya kulevya 🤣🤣😂
 
Shukrani chief ,masaa matatu kwa huku wanaweka kwa mitihani mikubwa tu,Ila Kama Ile ya shule wanaweka 2.5hrs
lengo la mwl wenu anataka awatrain kua na speed kubwa Ili mkifanya mitihani wa joints like mocks,pre nectar, even necta yenyewe muweze kumaliza kikamilifu coz ina duration ya 3hrs..So mkiweza kumanage 2.5hrs kwenye mazoezi ya darasani mtakua na advantage ya half hr kwenye mitihani ya mhimu kuweka mambo sawa na kuhakiki ubora wa kazi
 
Paper ya pure mlikuwa mnatumia mbinu gani kumaliza?
1. Fanya kuwa somo lako pedwa,

2. Kila siku, baada ya kuanza siku tenga angalaua dakika chache za kusolve maswali kadhaa, ndopo uendelee na ratiba zingine.

3. Hili somo ratiba yake iwe ni kila siku, Mfano kwenye ratiba umepanga kusoma Physics, basi lazima uwe na muda wa kupasha kichwa kwa kusolve maswali kadhaa ndipo uendelee na physics

4. Hakikisha unashiriki discussion zote na wadau zinazohusisha ku_solve maswali magumu.

Matokeo yake : Kwenye chumba cha mtihani kichwa kitakuwa chepesi, maswali utaona ni kama marudio ya kile ambao huwa unakifanya kila siku. Utatumia muda kidogo kama wafanyavyo wengine.
 
Wakuu habari zenu,kwa wale waliosoma combination zenye Mathematics (EGM,PGM,PCM).Paper ya pure mlikuwa mnatumia mbinu gani kumaliza?

Najitahidi kukaza fuvu na hata kuongeza speed Ila siimalizagi.Muda huwa ni masaa mawili na nusu.
Km haipandi acha shule, mtoto mjinga sana wewe
 
Me nilipiga PCM pure,na physics sijawai malizaga paper ata moja nilikuaga namaliza chemistry tu...kikubwa komaa kwenye ACCURACY wewe speed hauna ukipiga maswali 8 ukibutua 7 umetoboa...
 
Maisha yangu yote ya kusoma pcm sijawahi kuanza kufanya maswali ya section A kwenye Pepa 1 yoyote... Napiga kwanza section ya mwisho then huku mwanzo nakuja kupita kama upepo... Dah labda mambo yamebadilika... Nakumbuka enzi zetu mbona tulikua tunamaliza Pepa wengine wanatoka hata kabla ya muda kuisha
 
Back
Top Bottom