Wamamba
Senior Member
- Jan 5, 2024
- 125
- 226
Habari zenu wakuu
Nianze moja kwa moja nisiwapotezee mda
Mwaka juzi mwishoni nilirudi mtaani nilipokuwa naishi baada ya kusafiri na kukaa miaka 5 , nilifurahi kukutana na ndugu na marafiki kwa siku nyingi
Katika mizunguuko nikakutana na kasichana kazur nacho nilikuwa nakajuaga zamani tukaelewana tukawa tunatoka na nilimuuliza kama hayupo kwenye mahusiano na alinithibitishia kuwa yupo singo nikaanza naye mahusiano
Baada ya miezi miwili, nikapokea simu ya jamaa akiniulizia huyo msichana na kunambia kuwa kama yupo kwangu au laah , baada ya kuongea akanambia kuwa ni mtu wake wa miaka mingi sana na amegombana naye kwa kukuta chat zangu kwenye simu ya huyo msichana na amenuna na kuondoka na hajui ameenda wapi?
Tulizungumza kama wanaume tukamalizana
Baada ya wiki kale kasichana kakanipigia na kuniomba msamaha kwa yaliyotokea, nikamkubalia ila nilihoji why ukunambia kama upo kwenye mahusiano akajing’ata ng’ata yakaisha ila nikamwambia kuwa aendelee na mtu wake mie nitakuwa namega kisela akakubali; kisichana ni kizuri sanaa aisee
Kwenye tendo nilikuwa nazingatia sana kinga
Nikapata safar na nikasafir sikumuaga, akawa ananipigiaga kawaida anipati kuna siku akaniulizia akaambiwa nimesafiri, akanitafuta whatsapp akanipata akaniuliza why nimesafiri bila ya kumuaga nikamplease yakaisha
Tukawa hatuna stori wala nn
Baada ya miezi mitano akanitafuta akanambia kuwa ana mimba yangu, nikakubali kwa mashart kuwa nikirudi nitakuja kuchek DNA mtoto akizaliwa ila nikamuomba ajitahidi ajihudumie kulea ujauzito sababu kuna ugumu wa kutuma pesa nilipo ila nikirudi nitampa pesa kama fidia- mtego
Tukawa tunaukaribu wa kuchat na kupigiana simu sababu ya ujauzito, baada ya mwezi akanitumia sms kuwa ujauzito sio wangu na akanambia ni wa yule jamaa aliyenipigia sim kuwa yeye ni msichana wake ila jamaa alikataa mimba tangu ina mwezi mmoja - nikakubali bila ya kulalamika na nikampa polee
Sasa hivi amejifungua mtoto ana mwezi mmoja ananipigia simu na sms na kuwapa namba yangu ndugu zake wanibembeleze kuwa mtoto ni wangu, mimi sijajibu sms hata moja ila simu nilipokea na kumwambia kuwa hivi Karibuni nitarudi tutakuja kupima DNA ila mtoto asipokuwa wangu atanilipa fidia
Yule mwanaume wake alikataa ujauzito mbele ya kikao cha familia mbili, waliekaga kikao jamaa akaenda kumtia haibu huyu msichana mbele ya umati wa watu.
Akili ikipoa ntawaretea mrejesho kutoka jela, nilileta uzi hapa kuwa jumanne naenda kumuangalia rafiki yangu jela nijiandae na nini?
Jela nilikuta watanzania wawili na nikaandikisha kuwavisit wote wawili mmoja ana kisa kama hicho hapo juu ndio kilichompeleka jela huyo mwingine ndio ile inshu ya kulawiti mtoto.
Kumruku
Nianze moja kwa moja nisiwapotezee mda
Mwaka juzi mwishoni nilirudi mtaani nilipokuwa naishi baada ya kusafiri na kukaa miaka 5 , nilifurahi kukutana na ndugu na marafiki kwa siku nyingi
Katika mizunguuko nikakutana na kasichana kazur nacho nilikuwa nakajuaga zamani tukaelewana tukawa tunatoka na nilimuuliza kama hayupo kwenye mahusiano na alinithibitishia kuwa yupo singo nikaanza naye mahusiano
Baada ya miezi miwili, nikapokea simu ya jamaa akiniulizia huyo msichana na kunambia kuwa kama yupo kwangu au laah , baada ya kuongea akanambia kuwa ni mtu wake wa miaka mingi sana na amegombana naye kwa kukuta chat zangu kwenye simu ya huyo msichana na amenuna na kuondoka na hajui ameenda wapi?
Tulizungumza kama wanaume tukamalizana
Baada ya wiki kale kasichana kakanipigia na kuniomba msamaha kwa yaliyotokea, nikamkubalia ila nilihoji why ukunambia kama upo kwenye mahusiano akajing’ata ng’ata yakaisha ila nikamwambia kuwa aendelee na mtu wake mie nitakuwa namega kisela akakubali; kisichana ni kizuri sanaa aisee
Kwenye tendo nilikuwa nazingatia sana kinga
Nikapata safar na nikasafir sikumuaga, akawa ananipigiaga kawaida anipati kuna siku akaniulizia akaambiwa nimesafiri, akanitafuta whatsapp akanipata akaniuliza why nimesafiri bila ya kumuaga nikamplease yakaisha
Tukawa hatuna stori wala nn
Baada ya miezi mitano akanitafuta akanambia kuwa ana mimba yangu, nikakubali kwa mashart kuwa nikirudi nitakuja kuchek DNA mtoto akizaliwa ila nikamuomba ajitahidi ajihudumie kulea ujauzito sababu kuna ugumu wa kutuma pesa nilipo ila nikirudi nitampa pesa kama fidia- mtego
Tukawa tunaukaribu wa kuchat na kupigiana simu sababu ya ujauzito, baada ya mwezi akanitumia sms kuwa ujauzito sio wangu na akanambia ni wa yule jamaa aliyenipigia sim kuwa yeye ni msichana wake ila jamaa alikataa mimba tangu ina mwezi mmoja - nikakubali bila ya kulalamika na nikampa polee
Sasa hivi amejifungua mtoto ana mwezi mmoja ananipigia simu na sms na kuwapa namba yangu ndugu zake wanibembeleze kuwa mtoto ni wangu, mimi sijajibu sms hata moja ila simu nilipokea na kumwambia kuwa hivi Karibuni nitarudi tutakuja kupima DNA ila mtoto asipokuwa wangu atanilipa fidia
Yule mwanaume wake alikataa ujauzito mbele ya kikao cha familia mbili, waliekaga kikao jamaa akaenda kumtia haibu huyu msichana mbele ya umati wa watu.
Akili ikipoa ntawaretea mrejesho kutoka jela, nilileta uzi hapa kuwa jumanne naenda kumuangalia rafiki yangu jela nijiandae na nini?
Jela nilikuta watanzania wawili na nikaandikisha kuwavisit wote wawili mmoja ana kisa kama hicho hapo juu ndio kilichompeleka jela huyo mwingine ndio ile inshu ya kulawiti mtoto.
Kumruku