Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Kulea watoto wa mwanaume mwenzio inatakiwa uwe na roho ngumu na ustahimilivu, mimi ni lishindwa.
Kulea mtoto ambaye si wako ni baraka sana ndugu yangu. Na wakati mwingine huwa ni mtihani ambao Mungu anakupitisha kuona imani yako. Jaribu kusoma Kitabu cha Nabii Hosea kwenye Biblia uone Mungu alivyompa mtihani kuhusiana na Watoto ambao sio wake na namna alivyofaulu.
 
Haiwezekani iwe wanaume Tu ndo Wana shida ...na wewe je?
Umerekebisha kasoro zako?
Au bado unaamini " uko perfect" ?
Hukuwa na shida kabisa?...
Kasoro zako unazijua na umezifanyia kazi ...au ni mume na familia yake ndo Wana 'matatizo "wewe huna kabisa?
Maswali mazuri ajabu!

Binadamu tuna tabia ya kujiona sisi ndiyo tumekamilika; na wengine ndiyo wenye madhaifu - hata kama sisi ndiyo tuna changamoto lukuki mgandamano!

Ndiyo maana kwenye masuala kama haya (na mengineyo) tunashauriwa sana kutopitisha hukumu kabla ya kusikiliza pande zote husika.

Hao wanaume wanaolalamikiwa hapa ukipata nafasi ya kuwasikiliza unaweza kuishia kushangaa sana.
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Ushauri wako Leejay49 ni wa muhimu
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Wanangu wanazidi kupata Mileage...
sasa watakuja na "Kataa Ndoa katakata"
 
Pamoja na yooote uloshauriwa, ushauri wangu Mimi nikiwa Kama dada mkubwa, hiyo ndoa isiwe long distance marriage....iwe pika pakua, mjifunike shuka moja.....sio we uko mbeya mume yupo Kagera utakuja unalia tena humu.
Maisha mafupi sana kuishi maisha ya matumaini, long distance relationships waachiwe teenagers, now unahitaji mtu wa kufanya nae maisha, muishi wote, umjue tabia zake nae akujue....

Itokee tu mume kasafiri kikazi Ila isiwe tena kuanzia mwanzo kila mtu na makazi yake.....
 
Pamoja na yooote uloshauriwa, ushauri wangu Mimi nikiwa Kama dada mkubwa, hiyo ndoa isiwe long distance marriage....iwe pika pakua, mjifunike shuka moja.....sio we uko mbeya mume yupo Kagera utakuja unalia tena humu.
Maisha mafupi sana kuishi maisha ya matumaini, long distance relationships waachiwe teenagers, now unahitaji mtu wa kufanya nae maisha, muishi wote, umjue tabia zake nae akujue....

Itokee tu mume kasafiri kikazi Ila isiwe tena kuanzia mwanzo kila mtu na makazi yake.....
Asante sana mpenz
 
Halafu chukua wtt wako uwalee mwenyewe my dear..watt waone unavyofight kwa ajili yao..baadae hao ndio ndugu wako wa kweli watakusaidia..isije baadae wakasema sisi hatukulelewa na wazazi wetu na wote walikua hai..bond yako na wtt ni muhimu..mwanaume asikutenge na damu yako...
 
Back
Top Bottom