Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 268
- 568
Mkuu nisamehe bure nilichanganya ma fileJamani,naomba usome thread yangu mkuu
Mkuu nisamehe bure nilichanganya ma fileJamani,naomba usome thread yangu mkuu
Kulea mtoto ambaye si wako ni baraka sana ndugu yangu. Na wakati mwingine huwa ni mtihani ambao Mungu anakupitisha kuona imani yako. Jaribu kusoma Kitabu cha Nabii Hosea kwenye Biblia uone Mungu alivyompa mtihani kuhusiana na Watoto ambao sio wake na namna alivyofaulu.Kulea watoto wa mwanaume mwenzio inatakiwa uwe na roho ngumu na ustahimilivu, mimi ni lishindwa.
Maswali mazuri ajabu!Haiwezekani iwe wanaume Tu ndo Wana shida ...na wewe je?
Umerekebisha kasoro zako?
Au bado unaamini " uko perfect" ?
Hukuwa na shida kabisa?...
Kasoro zako unazijua na umezifanyia kazi ...au ni mume na familia yake ndo Wana 'matatizo "wewe huna kabisa?
Ushauri wako Leejay49 ni wa muhimuYeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Wanangu wanazidi kupata Mileage...Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Yeah aliniambia nije kuna kitu cha kujifunza kwenye huu uzi, watu wameongea kwa hekima sana nimependa.. Asa kuna mwingine bado hajanitagKumbe kuna nyingine
Barikiwa sana cuteYeah aliniambia nije kuna kitu cha kujifunza kwenye huu uzi, watu wameongea kwa hekima sana nimependa.. Asa kuna mwingine bado hajanitag
Hope unaendlea kupata miongozo kipenzi, Mungu akusimamie daima big ciccy 🥰☺️
Amen🥰🙏.. Na tubarikiwe soteBarikiwa sana cute
Asante sana mpenzPamoja na yooote uloshauriwa, ushauri wangu Mimi nikiwa Kama dada mkubwa, hiyo ndoa isiwe long distance marriage....iwe pika pakua, mjifunike shuka moja.....sio we uko mbeya mume yupo Kagera utakuja unalia tena humu.
Maisha mafupi sana kuishi maisha ya matumaini, long distance relationships waachiwe teenagers, now unahitaji mtu wa kufanya nae maisha, muishi wote, umjue tabia zake nae akujue....
Itokee tu mume kasafiri kikazi Ila isiwe tena kuanzia mwanzo kila mtu na makazi yake.....