Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Sawa mkuu,asante sana
Kuna mmoja namkula shoo nae ameachika nimemwambia achana na habari za kuolewa, tafuta maokoto piga kazi, ntakupa Raha mpaka uanze kuwaona malaika wa angani hasa wale wekundu na weupe. Nikiwa namjaza pipe huwa ananiita jina wadii adii wadii wewe mtamu sana
 
Mkuu,
Kwanza ukiona mwanaume amekua serious kutaka kukuoa KE ukiwa ni singo mother, tena wa watoto 2 jione mwny bahati Sana na umependwa Sana.

Na usidhan jamaa kakurupuka,
Kuna kitu cha ziada kakiona kwako ambacho hajakiona kwa single ladies au singo mothers wengine mitaani.

Fanya maamuz haraka ya ndoa kabla shetan hajatia doa penzi lenu
Mwenyezi Mungu akubariki sana mkuu,asante sana
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
We nadhani tunawezana na mmi kama unataka kuwa mke wa pili njoo!! Naona tangu nikufahamu hatujawai pishana kauli
 
Kuna mmoja namkula shoo nae ameachika nimemwambia achana na habari za kuolewa, tafuta maokoto piga kazi, ntakupa Raha mpaka uanze kuwaona malaika wa ngoni hasa wale wekundu na weupe. Nikiwa namjaza pipe huwa ananitaka jina wadii wadii wewe mtamu sana
Sawa mkuu
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Iko hivi,hakuna ndoa inayovunjika halafu ukataka kuingia katika mahusiano mapya bila ya hasa kujua ni nani kati yenu alikuwa mkosaji,najua nikikuuliza hilo swali utasema yeye ndio alikuwa na makosa,ila inawezekana kabisa wewe ndio ulikuwa mkosaji,kuna vitu ulivianzisha vikamfanya yeye kubadilika.Sasa kama una uhakika kweli kuwa yeye ndio alikuwa na makosa,ingia kwenye hiyo ndoa ila kama umetafakari na kujua wewe ndio ulikuwa na makosa unatakiwa ubadilike,maana huko unakoenda kama utaingia na gia zilezile ulizo tumia kule uhusiano utavunjika tena,na huyo unaemwita mpole akakubadilikia kuliko hata yule wa kwanza...
 
Siku zote watu huzani ndoa saikolojikali wanasahau kuwa ni taasisi kubwa ambayo lazima uijue Ato Z unapoingia katika ndoa lazima ukubali yote either kuw mjinga, kujishusha kwa mwenzio na uvumilivu hapo ndoa itaenda bila shak yeyote
 
Ndoa ni kwa ajili ya kulea watoto .

Maana mzazi anatazama taswira ya mtoto Ila mtoto hatazami taswira ya mzazi.

Kama umepata MTU ambaye anaweza kulea watoto wako vizuri na responsible father why you hesitate.?

UPENDO ni kupenda kila kitu na Ku-neutralized na hii ndo sifa kuu ya Mungu.

Kuwapa Mvua waovu Wicked na kuwapa mvua wenye haki righteous

Na mwisho ukisikia utayari kuanzia ndani yako Willingness basi fanya maamuzi .

Maisha kila MTU anaishi Ila sio kila MTU anapata ladha ya MAISHA.

Na ukipata ladha ya maisha maana yake unabidi kuwa karibu na watu positive ikiwemo Mme ambaye ni responsible Father.
 
Iko hivi,hakuna ndoa inayovunjika halafu ukataka kuingia katika mahusiano mapya bila ya hasa kujua ni nani kati yenu alikuwa mkosaji,najua nikikuuliza hilo swali utasema yeye ndio alikuwa na makosa,ila inawezekana kabisa wewe ndio ulikuwa mkosaji,kuna vitu ulivianzisha vikamfanya yeye kubadilika.Sasa kama una uhakika kweli kuwa yeye ndio alikuwa na makosa,ingia kwenye hiyio ndoa ila kama umetafakari na kujua wewe ndio ulikuwa na makosa unatakiwa ubadilike,maana huko unakoenda kama utaingia na gia zilezile ulizo tumia kule uhusiano utavunjika tena,na huyo unaemwita mpole akakubadilikia kuliko hata yule wa kwanza...
Sawa mkuu,asante kwa ushauri
 
Kwanza pole, mtu mpaka kufikia maamuzi ya kutaka kukuuwa badala ya kuondoka na kukuacha, basi itakuwa alikuwa anakupenda ila ulikuwa unafanya vitu au kitu ambacho hakuwa anapendezwa nacho ila wewe ulikuwa una force uendelee nacho
Sijui ni nini ila kuna Red flag nyingi kwenye habari yako hii
Mwanaume akisema don't do it basi ana maana hiyo
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽


Jitahidi, ila kwa umakini mkubwa, ukifika 40, uakuwa na uitaji sana na mwanaume, na chances za kumpata genunine ni ngumu.
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Rafiki yangu kwanza ogopa mtu anaeonekana mwema ua mzuri!
There is always ugly side of a person.
Ijue kwanza hiyo ili ujue kama unaweza kuishi nae
 
Olewa bwana...ila hakikisha sio mume sio Marioo....

Ukija na laki ntakupa huduma ya ukungwi.....mie wari wangu hawaachikagi, muulize Lamomy nilivyomfunda hadi kaka aungu Kantri katulia🤣🤣🤣🤣
Teeeeeenaaaaah!! 👌
Kungwi afu wifi mbona pambe, pamoja na hekaheka zake kaka ako katulia ss hivi hapatoki 😂😂😂😂
Huna kazi mbovu kungwi umenipa nyago konkii..!!!
 
Back
Top Bottom