Ni 39 ageBasi ni zawadi na Neema ya kipekee sana kutoka kwa Mungu 🐒
hata hivyo ikiwa huyo mtu mume ni 40au above40 utainjoy zaid,coz hana matata tena matata yaliisha kitambo 🐒
ukishikwa shikilia vizuri maisha yanaenda resi sana...
Kuna mmoja namkula shoo nae ameachika nimemwambia achana na habari za kuolewa, tafuta maokoto piga kazi, ntakupa Raha mpaka uanze kuwaona malaika wa angani hasa wale wekundu na weupe. Nikiwa namjaza pipe huwa ananiita jina wadii adii wadii wewe mtamu sanaSawa mkuu,asante sana
Mwenyezi Mungu akubariki sana mkuu,asante sanaMkuu,
Kwanza ukiona mwanaume amekua serious kutaka kukuoa KE ukiwa ni singo mother, tena wa watoto 2 jione mwny bahati Sana na umependwa Sana.
Na usidhan jamaa kakurupuka,
Kuna kitu cha ziada kakiona kwako ambacho hajakiona kwa single ladies au singo mothers wengine mitaani.
Fanya maamuz haraka ya ndoa kabla shetan hajatia doa penzi lenu
We nadhani tunawezana na mmi kama unataka kuwa mke wa pili njoo!! Naona tangu nikufahamu hatujawai pishana kauliYeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Sawa mkuuKuna mmoja namkula shoo nae ameachika nimemwambia achana na habari za kuolewa, tafuta maokoto piga kazi, ntakupa Raha mpaka uanze kuwaona malaika wa ngoni hasa wale wekundu na weupe. Nikiwa namjaza pipe huwa ananitaka jina wadii wadii wewe mtamu sana
Iko hivi,hakuna ndoa inayovunjika halafu ukataka kuingia katika mahusiano mapya bila ya hasa kujua ni nani kati yenu alikuwa mkosaji,najua nikikuuliza hilo swali utasema yeye ndio alikuwa na makosa,ila inawezekana kabisa wewe ndio ulikuwa mkosaji,kuna vitu ulivianzisha vikamfanya yeye kubadilika.Sasa kama una uhakika kweli kuwa yeye ndio alikuwa na makosa,ingia kwenye hiyo ndoa ila kama umetafakari na kujua wewe ndio ulikuwa na makosa unatakiwa ubadilike,maana huko unakoenda kama utaingia na gia zilezile ulizo tumia kule uhusiano utavunjika tena,na huyo unaemwita mpole akakubadilikia kuliko hata yule wa kwanza...Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Karibu kwa experience mpyaNgoja niwe nae huyu mkuu,asante sana
Sawa mkuu,asante kwa ushauriIko hivi,hakuna ndoa inayovunjika halafu ukataka kuingia katika mahusiano mapya bila ya hasa kujua ni nani kati yenu alikuwa mkosaji,najua nikikuuliza hilo swali utasema yeye ndio alikuwa na makosa,ila inawezekana kabisa wewe ndio ulikuwa mkosaji,kuna vitu ulivianzisha vikamfanya yeye kubadilika.Sasa kama una uhakika kweli kuwa yeye ndio alikuwa na makosa,ingia kwenye hiyio ndoa ila kama umetafakari na kujua wewe ndio ulikuwa na makosa unatakiwa ubadilike,maana huko unakoenda kama utaingia na gia zilezile ulizo tumia kule uhusiano utavunjika tena,na huyo unaemwita mpole akakubadilikia kuliko hata yule wa kwanza...
Hakika broSiku zote watu huzani ndoa saikolojikali wanasahau kuwa ni taasisi kubwa ambayo lazima uijue Ato Z unapoingia katika ndoa lazima ukubali yote either kuw mjinga, kujishusha kwa mwenzio na uvumilivu hapo ndoa itaenda bila shak yeyote
tayari amekomaa mno huyo, ameshapita milima na mabonde mengi ya kutenda na kutendwa 🐒Ni 39 age
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Rafiki yangu kwanza ogopa mtu anaeonekana mwema ua mzuri!Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....
Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.
Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭
Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.
Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Teeeeeenaaaaah!! 👌Olewa bwana...ila hakikisha sio mume sio Marioo....
Ukija na laki ntakupa huduma ya ukungwi.....mie wari wangu hawaachikagi, muulize Lamomy nilivyomfunda hadi kaka aungu Kantri katulia🤣🤣🤣🤣