Mpira bila wachambuzi haunogi bana. Zile porojo zinaleta utamu. Hawajakamilika ila wanaleta ladha kwenye soka.Hawajui lolote, zaidi ya kuleta taharuki Tu, wanajifanya kuchambua hata maamuzi ya marefarii Kwa mareo ya picha Tu!! kitu ambacho sio sahihi. Ongeza matangazo ya biashara.
Uongo tu azam washikilie hapo hapo ujinga ni mwingiMpira bila wachambuzi haunogi bana. Zile porojo zinaleta utamu. Hawajakamilika ila wanaleta ladha kwenye soka.
Ujinga upi kama mapungufu yapo ni ya kawaida. Kwani hao wachambuzi mbona wamepelekwa uwanjani.Uongo tu azam washikilie hapo hapo ujinga ni mwingi
Wacha MBUZI ni kama wasimuliaji tuUjinga upi kama mapungufu yapo ni ya kawaida. Kwani hao wachambuzi mbona wamepelekwa uwanjani.
Wachambua mchele.Hawajui lolote, zaidi ya kuleta taharuki Tu, wanajifanya kuchambua hata maamuzi ya marefarii Kwa mareo ya picha Tu!! kitu ambacho sio sahihi. Ongeza matangazo ya biashara.
Kutoa maoni Kwa kuangalia marejeo ya picha ni kosa? Unataka Watangazaji na wachambuzi wawe bendera fuata upepo? Acha ufala.Hawajui lolote, zaidi ya kuleta taharuki Tu, wanajifanya kuchambua hata maamuzi ya marefarii Kwa mareo ya picha Tu!! kitu ambacho sio sahihi. Ongeza matangazo ya biashara.
Ujinga ni kuchambua simba na yanga daily kana kwamba hazipaswi kupoteza mechi hata kama timu nyingine zimejitahidi kusaka bao/ushindiUjinga upi kama mapungufu yapo ni ya kawaida. Kwani hao wachambuzi mbona wamepelekwa uwanjani.
Wewe utakuwa ni mwamuzi bila shaka. Maana umefurahi kweli kweli.Hawajui lolote, zaidi ya kuleta taharuki Tu, wanajifanya kuchambua hata maamuzi ya marefarii Kwa mareo ya picha Tu!! kitu ambacho sio sahihi. Ongeza matangazo ya biashara.