Marefa wa Kitanzania kutokuitwa kuchezesha Mashindano Makubwa ya kimataifa isiwe Kichaka na Sababu ya Kila siku kuwalaumu kua wanamakosa

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Apr 24, 2019
1,727
3,286
Yani ujue Hizi Team hususani SIMBA Na YANGA zimejitengenezea Ufalme wa kujipa tu ambao umewatia Ujinga.

Mashabiki zao wamekua Wajinga.

Wachambuzi wamekua Wajinga.

Hata Watangazaji wa Michezo wamekua wajinga sana.

Yani ukianzia kwa Mashabiki wao wanaona kabisa Team yao inacheza vibaya dakika 80/90 za mchezo then zile 10 tu linatokea tukio moja ambalo kibinadamu tu linampitia Refa wanao wanaamini eti lingewapa Ushindi? Kitu ambacho bado ni probability inaweza tokea foul mkapewa mkakosa au ikawa blocked..ila ukiwasikiliza sasa as if lilikua goli tayar.

Imagine Mtu alietazama Match ya Leo simba na Azam hivi zile Beki za simba zilivyokua uchochoro zinapwaya Plus Kiungo hakieleweki kwa dakika kama 80+ hivi unamlaumu Refa kwa Lipi?
Yani Leo ilikua tu kukosa umakini kwa Foward za Azam lasivo wangekula 5 zingine.

Mnavyolalamika KAYOKO kawabeba Azam hivi hamjaona ule Mpira wenu mbovu hadi kocha wenu anasikitika?

Kingine kwa MASHABIKI haohao yani wao Kila game hua wamejipa Asilimia 100 kua wanashinda ikitokea wamefanyiwa Ugumu flani hivi wamepata matokeo ya 1-0 wanaanza kelele Mara tunataka Rotation,Mara tunataka Kocha atoke yani wao wanaamini kila game kwao ni Nyepesi na ushindi lazima uwe 5G hapa ni wale ndugu zangu YANGA.

Wajinga Wengine ni WATANGAZAJI,yani hawa watu ukiwasikiliza utajiuliza huyu Mtangazaji anatangaza Pambio La Yanga au Simba yani utakua unasikia Mwanzo Mwisho hizi Team zinasifiwa as If zile Team zinacheza nao ni Mbovu sana na hazistahili kupata Points..huu ni Ujinga sana.

Wachambuzi nao the same wanakasumba ya kuanzisha Maada ambazo zinaenda kuathiri Mashabiki maana mashabiki bongo hawatakagi kuumiza Akili wao wanaamini tu Maneno ya wachambuzi wanayosikia..bila hata kuyafanyia kazi.

Tuacheni Sababu ya kulaumu laumu kila mda ukweli ni kua kuna siku Team zetu zinacheza vibaya na Wapinzani wanakua Bora tuwe tunawaheshimu wapinzani pia.

Tukitaka tubadilike tukubali Makosa sio kila siku tutafte Sababu sisi tu kua tumeonewa na Refa mara Kocha Mbovu.
 
Timu kuwa hovyo dakika 80 haihalalishi maamuzi ya hovyo ya waamuzi maana dakika 3 tu za haki zinaweza kuipa timu iliyokuwa hovyo ushindi. Tumeona sana uko Afcon.

Waamuzi bongo bado ni wabovu. Luis alikuwa anaelekea kufunga inaonyeshwq offside wakati sio. Kipa wa Azam analala hovyo kupoteza muda halafu haonywi na mwamuzi.

Tetea kama hakukuwa na maamuzi mabovu na sio kuhalalisha maamuzi mabovu eti kisa timu imecheza hovyo.
 
Timu kuwa hovyo dakika 80 haihalalishi maamuzi ya hovyo ya waamuzi maana dakika 3 tu za haki zinaweza kuipa timu iliyokuwa hovyo ushindi. Tumeona sana uko Afcon...
Hujaona ile kuna offside Azam waliambia wameotea kipindi cha pili hichohicho kwanini usisemee kua yale maamuzi yalikua ya hovyo?

Ila nyie busy kuangalia upande wenu.

Mi nimesema yale ni makosa ya kibinadamu maaaa hata ikiwepo VAR bado mtu anaweza goma na msimfanye lolote hayo tumeyaona sana hata huko Ulaya.

So Mkiwa mnaimba HAKI iimbeni hata kwa Wengine msiitake ifanyike kwenu tu.

Hizi Team ndio zinaongoza kubebwa na Waamuzi na waamuzi wanaiogopa ana kisa watu kama nyie daily mnataka Favour za Marefa.
 
Timu kuwa hovyo dakika 80 haihalalishi maamuzi ya hovyo ya waamuzi maana dakika 3 tu za haki zinaweza kuipa timu iliyokuwa hovyo ushindi. Tumeona sana uko Afcon.

Waamuzi bongo bado ni wabovu. Luis alikuwa anaelekea kufunga inaonyeshwq offside wakati sio. Kipa wa Azam analala hovyo kupoteza muda halafu haonywi na mwamuzi.

Tetea kama hakukuwa na maamuzi mabovu na sio kuhalalisha maamuzi mabovu eti kisa timu imecheza hovyo.
Refa alipiga filimbi kuashiria mikson ameshika mpira ila watangazaji ndio waliowapoteza maboya kwa kusema offside

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hujaona ile kuna offside Azam waliambia wameotea kipindi cha pili hichohicho kwanini usisemee kua yale maamuzi yalikua ya hovyo?
Ila nyie busy kuangalia upande wenu.

Mi nimesema yale ni makosa ya kibinadamu maaaa hata ikiwepo VAR bado mtu anaweza goma na msimfanye lolote hayo tumeyaona sana hata huko Ulaya.

So Mkiwa mnaimba HAKI iimbeni hata kwa Wengine msiitake ifanyike kwenu tu.

Hizi Team ndio zinaongoza kubebwa na Waamuzi na waamuzi wanaiogopa ana kisa watu kama nyie daily mnataka Favour za Marefa.
Mashabiki mandazi hawawezi kukuelewa we hushangai simba inacheza mechi kigoma lakini wanakigoma wenyewe wanaishabikia simba? Badala ya kushangia timu yao

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Watu sijui hua wanaangalia mpira kweli ama hua wanasuburi tu goli lifungwe washangilie na kuanza kusumbua wenzao kwa kuuliza nani kufunga?! Issue ya offside, Kibu D ndo alietokea eneo la offside na kupokea mpira na akapiga pasi ya tik taka fupi kwa Luis. So kibendera alikua sahihi kuamua ile kua offside sasa sijui hapa Kayoko anaingiaje wakati offside inaamuliwa na kibendera. Tukio la penalty ya Jobe, ni makosa ya kibinadamu ambayo yakimpita mwamuzi ni ngumu kuyafanyia maamuzi ya haraka. Na makosa haya haya yanatokea sana kwenye mechi za ligi kuu ila kwakua hayagusi Simba na Yanga wala hua hayapigiwi kelele kama hizi. Simba na Yanga wote ni wanaufaika wakubwa wa makosa ya kibinadamu ya waamuzi na kwakua hua yanakua positive kwao hua hatusikii kelele kama hizi. Jana Yanga kanyimwa penalty kama mbili hivi vs Mashujaa ila kwakua alishinda huwezi kusikia kelele. Ila mechi ingeisha draw tungesikia tu kelele kua TFF wanamuandaa bingwa wao.
 
Mashabiki mandazi hawawezi kukuelewa we hushangai simba inacheza mechi kigoma lakini wanakigoma wenyewe wanaishabikia simba? Badala ya kushangia timu yao

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Moja ya kitu hua kinaniuma sana tena sana ndio najiuliza hawa watu wanajua kweli Mpira?

Yani kule Spain hata itokeee Barca ameenda kucheza na Team ya ligi Daraja la 3 Copa Del Rey wazeee na watoto wa mtaaa ile Team ndogo inacheza na Barca hutawaona na Jezi za madrid wala Barca wao ni team yao tu
 
Watu sijui hua wanaangalia mpira kweli ama hua wanasuburi tu goli lifungwe washangilie na kuanza kusumbua wenzao kwa kuuliza nani kufunga?! Issue ya offside, Kibu D ndo alietokea eneo la offside na kupokea mpira na akapiga pasi ya tik taka fupi kwa Luis. So kibendera alikua sahihi kuamua ile kua offside sasa sijui hapa Kayoko anaingiaje wakati offside inaamuliwa na kibendera. Tukio la penalty ya Jobe, ni makosa ya kibinadamu ambayo yakimpita mwamuzi ni ngumu kuyafanyia maamuzi ya haraka. Na makosa haya haya yanatokea sana kwenye mechi za ligi kuu ila kwakua hayagusi Simba na Yanga wala hua hayapigiwi kelele kama hizi. Simba na Yanga wote ni wanaufaika wakubwa wa makosa ya kibinadamu ya waamuzi na kwakua hua yanakua positive kwao hua hatusikii kelele kama hizi. Jana Yanga kanyimwa penalty kama mbili hivi vs Mashujaa ila kwakua alishinda huwezi kusikia kelele. Ila mechi ingeisha draw tungesikia tu kelele kua TFF wanamuandaa bingwa wao.
Umenena Mengi sana na Yote ni ukweli Mtupu Mkuu.
 
Timu kuwa hovyo dakika 80 haihalalishi maamuzi ya hovyo ya waamuzi maana dakika 3 tu za haki zinaweza kuipa timu iliyokuwa hovyo ushindi. Tumeona sana uko Afcon.

Waamuzi bongo bado ni wabovu. Luis alikuwa anaelekea kufunga inaonyeshwq offside wakati sio. Kipa wa Azam analala hovyo kupoteza muda halafu haonywi na mwamuzi.

Tetea kama hakukuwa na maamuzi mabovu na sio kuhalalisha maamuzi mabovu eti kisa timu imecheza hovyo.
Hahaaaaaaa mi nimeangalia ile mechi, naomba bro uniambie Refa alikosea wapi jana mkuu wangu?
 
Hahaaaaaaa mi nimeangalia ile mechi, naomba bro uniambie Refa alikosea wapi jana mkuu wangu?
Nenda kwenye insta page ya Azam uone marudio jinsi Jobe alivyochezewa faul ndani ya 18 halafu uone hadi wachambuzi wamethibitisha kuwa ilitakiwa kuwa penati
 
Hapo mwisho ungemalizia kwa ku declare interest kuwa wewe ni mwanayanga ingeleta maana zaidi kuliko porojo ulizojaza hapo, andiko lako limejaa chuki dhidi ya simba SC. Hakuna kitu kwenye mpira kinaitwa makosa ya kibinadamu (Ignorance of the law is not an excuse) kayoko amekuwa na maamuzi yenye utata sana linapokuja suala la michezo ya SSC na hilo ndilo linawapa ukakasi wana simba. Umeongelea suala la wanakigoma wote kuishabikia Simba badala ya mashujaa na ukafananisha Barca ya huko Hispania hapa ndipo nikaona wewe ni mweupe kichwani linapokuja suala la mpira wakati mwingine unapofanya ulinganifu zingatia mazingira,tamaduni na historia hii itakusaidia sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Bora tuwekeze katika Mziki tu..Mpira kwa hizi team za bongo kila siku wao kulia Refa yani wanajionaga kama hawastahili Draw wala Kufungwa.
Hata mimi nashangaa kwamba simba na yanga kupoteza mechi au kufungwa kwao ni dhambi na ni kosa timu zingine kupata pointi 3 mbele yao 😭😭
 
Yani ujue Hizi Team hususani SIMBA Na YANGA zimejitengenezea Ufalme wa kujipa tu ambao umewatia Ujinga.

Mashabiki zao wamekua Wajinga.

Wachambuzi wamekua Wajinga.

Hata Watangazaji wa Michezo wamekua wajinga sana.

Yani ukianzia kwa Mashabiki wao wanaona kabisa Team yao inacheza vibaya dakika 80/90 za mchezo then zile 10 tu linatokea tukio moja ambalo kibinadamu tu linampitia Refa wanao wanaamini eti lingewapa Ushindi? Kitu ambacho bado ni probability inaweza tokea foul mkapewa mkakosa au ikawa blocked..ila ukiwasikiliza sasa as if lilikua goli tayar.

Imagine Mtu alietazama Match ya Leo simba na Azam hivi zile Beki za simba zilivyokua uchochoro zinapwaya Plus Kiungo hakieleweki kwa dakika kama 80+ hivi unamlaumu Refa kwa Lipi?
Yani Leo ilikua tu kukosa umakini kwa Foward za Azam lasivo wangekula 5 zingine.

Mnavyolalamika KAYOKO kawabeba Azam hivi hamjaona ule Mpira wenu mbovu hadi kocha wenu anasikitika?

Kingine kwa MASHABIKI haohao yani wao Kila game hua wamejipa Asilimia 100 kua wanashinda ikitokea wamefanyiwa Ugumu flani hivi wamepata matokeo ya 1-0 wanaanza kelele Mara tunataka Rotation,Mara tunataka Kocha atoke yani wao wanaamini kila game kwao ni Nyepesi na ushindi lazima uwe 5G hapa ni wale ndugu zangu YANGA.

Wajinga Wengine ni WATANGAZAJI,yani hawa watu ukiwasikiliza utajiuliza huyu Mtangazaji anatangaza Pambio La Yanga au Simba yani utakua unasikia Mwanzo Mwisho hizi Team zinasifiwa as If zile Team zinacheza nao ni Mbovu sana na hazistahili kupata Points..huu ni Ujinga sana.

Wachambuzi nao the same wanakasumba ya kuanzisha Maada ambazo zinaenda kuathiri Mashabiki maana mashabiki bongo hawatakagi kuumiza Akili wao wanaamini tu Maneno ya wachambuzi wanayosikia..bila hata kuyafanyia kazi.

Tuacheni Sababu ya kulaumu laumu kila mda ukweli ni kua kuna siku Team zetu zinacheza vibaya na Wapinzani wanakua Bora tuwe tunawaheshimu wapinzani pia.

Tukitaka tubadilike tukubali Makosa sio kila siku tutafte Sababu sisi tu kua tumeonewa na Refa mara Kocha Mbovu.
Ramadhani Kayoko amefungiwa mara 2 kwenye mechi anazochezesha za Simba.
Ni coincidence l let you be the judge.
Ligi ya England timu zinakataa kuchezeshwa na marefa fulani kwa sababu ya conflict of interest.
Ramadhani Kayoko hana historia nzuri na Simba.
 
Back
Top Bottom