Nakushauri Rais Samia, achana na huyo haendani na wewe

Moja kwa moja kwenye mada

Huyo ni tatizo, ana a lot of criminal allegations, wewe ni mtu wa rule of law, huyo dogo hafuati utawala wa sheria. it is very difficult to deal with an ignorant person, ata kuharibia

Drop that non-sense, tafuta watu wenye kuendana na haiba yako, bado haujachelewa, dont hang with wrong people
nakushauri, unajiharibia sana

Sukuma gang and the rest of gangs hawakuwezi, wewe ndiye mwenye dola, neno lako ni sheria, nakwazika sana unaoposhindwa kufanya unalotakiwa kufanya

Chukua au acha, huo ndio ushauri wa MIXOLOGIST, nimemaliza
Wote hao akili zao moja sema mnajitia ujinga kuwatofautisha. Tena naweza kwenda mbali na kudiriki kusema CCM ZnZ wamezidi wenzao wa bara kwa jinsi walivyofanya CUF.
 
Nadhani kwa tulipofikia, kama uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa kijangili, basi tumuombe Mungu tupate raisi jangilist mara angalau 10 zaidi, mapema iwezekanavyo kwaajili ya vizazi vijavyo.

Hatuwezi kupiga hatua yoyote positive kwa huu upuuzi wa unaoendelea! Kama anaweza kuwa 100% match kisha akazidisha kila kitu by 10, why not!

To hell with hiyo law na vifananavyo! Law ni nini kwanza? Moja ya vitu visivyo na hakika katika hii dunia ni law. Ni aghalabu kukuta wanahesabu na wafananao kuwa na mjadala usio na mwisho na kisha kukata rufaa etc.

Si law, utawala bora wala demokrasia, kwa tafsiri tunayolazimishwa kuielewa, itasaidia nchi yoyote Africa kukua na kuendelea! Hizo ni nadharia za kulinda kilichokwisha kupatikana.
  • Slavery, wali-abolish baada ya kufaidika na wakaweka taratibu mtu mwingine asije faidika kwa kufanya hayo na kusababisha instability itakayowafanya wasile vinono vyao kwa amani.
  • Japan waliweza kutokomeza malaria 19 kweusi huko, kwanini hatufanyi kama wao leo?

Kama Magu alikuwa dictator, tunahitaji atakayekuwa mara 100 yake!
Nakazia hapa
 
Moja kwa moja kwenye mada

Huyo ni tatizo, ana a lot of criminal allegations, wewe ni mtu wa rule of law, huyo dogo hafuati utawala wa sheria. it is very difficult to deal with an ignorant person, ata kuharibia

Drop that non-sense, tafuta watu wenye kuendana na haiba yako, bado haujachelewa, dont hang with wrong people
nakushauri, unajiharibia sana

Sukuma gang and the rest of gangs hawakuwezi, wewe ndiye mwenye dola, neno lako ni sheria, nakwazika sana unaoposhindwa kufanya unalotakiwa kufanya

Chukua au acha, huo ndio ushauri wa MIXOLOGIST, nimemaliza
Mpaka limkute,
 
Nadhani kwa tulipofikia, kama uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa kijangili, basi tumuombe Mungu tupate raisi jangilist mara angalau 10 zaidi, mapema iwezekanavyo kwaajili ya vizazi vijavyo.

Hatuwezi kupiga hatua yoyote positive kwa huu upuuzi wa unaoendelea! Kama anaweza kuwa 100% match kisha akazidisha kila kitu by 10, why not!

To hell with hiyo law na vifananavyo! Law ni nini kwanza? Moja ya vitu visivyo na hakika katika hii dunia ni law. Ni aghalabu kukuta wanahesabu na wafananao kuwa na mjadala usio na mwisho na kisha kukata rufaa etc.

Si law, utawala bora wala demokrasia, kwa tafsiri tunayolazimishwa kuielewa, itasaidia nchi yoyote Africa kukua na kuendelea! Hizo ni nadharia za kulinda kilichokwisha kupatikana.
  • Slavery, wali-abolish baada ya kufaidika na wakaweka taratibu mtu mwingine asije faidika kwa kufanya hayo na kusababisha instability itakayowafanya wasile vinono vyao kwa amani.
  • Japan waliweza kutokomeza malaria 19 kweusi huko, kwanini hatufanyi kama wao leo?

Kama Magu alikuwa dictator, tunahitaji atakayekuwa mara 100 yake!
Kumbe wenye akili bado mpo.
 
Nadhani kwa tulipofikia, kama uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa kijangili, basi tumuombe Mungu tupate raisi jangilist mara angalau 10 zaidi, mapema iwezekanavyo kwaajili ya vizazi vijavyo.

Hatuwezi kupiga hatua yoyote positive kwa huu upuuzi wa unaoendelea! Kama anaweza kuwa 100% match kisha akazidisha kila kitu by 10, why not!

To hell with hiyo law na vifananavyo! Law ni nini kwanza? Moja ya vitu visivyo na hakika katika hii dunia ni law. Ni aghalabu kukuta wanahesabu na wafananao kuwa na mjadala usio na mwisho na kisha kukata rufaa etc.

Si law, utawala bora wala demokrasia, kwa tafsiri tunayolazimishwa kuielewa, itasaidia nchi yoyote Africa kukua na kuendelea! Hizo ni nadharia za kulinda kilichokwisha kupatikana.
  • Slavery, wali-abolish baada ya kufaidika na wakaweka taratibu mtu mwingine asije faidika kwa kufanya hayo na kusababisha instability itakayowafanya wasile vinono vyao kwa amani.
  • Japan waliweza kutokomeza malaria 19 kweusi huko, kwanini hatufanyi kama wao leo?

Kama Magu alikuwa dictator, tunahitaji atakayekuwa mara 100 yake!
Mfuate huko akakutawale wewe.
 
Huyo ni Scofield wa hiko chama chao,haepukiki! Hata ikitokea Chama Kubwa la kaskazini likishika hatamu utashangaa mno nao wakimchukua na kumbatiza huyo mwanakharamu!

Nasema hivi...kijana haepukiki hapa Giningi. Iwe leo au kesho haepukiki! ...

Period!
 
Nadhani kwa tulipofikia, kama uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa kijangili, basi tumuombe Mungu tupate raisi jangilist mara angalau 10 zaidi, mapema iwezekanavyo kwaajili ya vizazi vijavyo.

Hatuwezi kupiga hatua yoyote positive kwa huu upuuzi wa unaoendelea! Kama anaweza kuwa 100% match kisha akazidisha kila kitu by 10, why not!

To hell with hiyo law na vifananavyo! Law ni nini kwanza? Moja ya vitu visivyo na hakika katika hii dunia ni law. Ni aghalabu kukuta wanahesabu na wafananao kuwa na mjadala usio na mwisho na kisha kukata rufaa etc.

Si law, utawala bora wala demokrasia, kwa tafsiri tunayolazimishwa kuielewa, itasaidia nchi yoyote Africa kukua na kuendelea! Hizo ni nadharia za kulinda kilichokwisha kupatikana.
  • Slavery, wali-abolish baada ya kufaidika na wakaweka taratibu mtu mwingine asije faidika kwa kufanya hayo na kusababisha instability itakayowafanya wasile vinono vyao kwa amani.
  • Japan waliweza kutokomeza malaria 19 kweusi huko, kwanini hatufanyi kama wao leo?

Kama Magu alikuwa dictator, tunahitaji atakayekuwa mara 100 yake!
💩
 
Nadhani kwa tulipofikia, kama uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa kijangili, basi tumuombe Mungu tupate raisi jangilist mara angalau 10 zaidi, mapema iwezekanavyo kwaajili ya vizazi vijavyo.

Hatuwezi kupiga hatua yoyote positive kwa huu upuuzi wa unaoendelea! Kama anaweza kuwa 100% match kisha akazidisha kila kitu by 10, why not!

To hell with hiyo law na vifananavyo! Law ni nini kwanza? Moja ya vitu visivyo na hakika katika hii dunia ni law. Ni aghalabu kukuta wanahesabu na wafananao kuwa na mjadala usio na mwisho na kisha kukata rufaa etc.

Si law, utawala bora wala demokrasia, kwa tafsiri tunayolazimishwa kuielewa, itasaidia nchi yoyote Africa kukua na kuendelea! Hizo ni nadharia za kulinda kilichokwisha kupatikana.
  • Slavery, wali-abolish baada ya kufaidika na wakaweka taratibu mtu mwingine asije faidika kwa kufanya hayo na kusababisha instability itakayowafanya wasile vinono vyao kwa amani.
  • Japan waliweza kutokomeza malaria 19 kweusi huko, kwanini hatufanyi kama wao leo?

Kama Magu alikuwa dictator, tunahitaji atakayekuwa mara 100 yake!
Umetumia muda wako kuandika ujinga.
 
Back
Top Bottom