Hello,Dokta pole na majukum na ahsante kwa kutusaidia masuala mengi ya kiafya.
Mimi ni mwanaume wa miaka 26. Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la chunusi. Nilijaribu kutumia baadhi ya sabuni flani pasipo mafanikio.
Baadaye niliamua kuachana na hizo sabuni na kuanza kutumia sabuni za kawaida (sabuni za vipande za kufulia nguo). Nilianza pia kuosha uso kwa maji ya uvugu vugu kila siku asubuhi na jion na kupaka mafuta ya mgando ya kawaida baada ya kushauriwa na baadhi ya watu.
Yote hayo hayajanisaidia kwani bado nasumbuliwa na chunusi.
Naomba unisaidie ni namna gani au ni dawa gani ambayo inaweza ikanisaidia kuondokana na tatizo la CHUNUSI
- Je hali hio inamtokea akishapata mlo?
- Maumivu yapo eneo gani la tumbo?
- Maumivu yanasambaa kutoka tumboni kwenda mgongoni mpaka upande wa kulia wa bega?
- Akipewa scale ya 1-10 maumivu anayaweka kwenye namba ngapi?
- Naomba ufafanue zaidi anasumbuliwa na gesi tumboni?anacheua na kujamba sana?
Hello,
- Nakushauri utumie Clindamycin(dalacin liniment) au benzoylperoxide au combination ya benzoylperoxide+ adapelen kupaka usoni!
- Nawa uso mara mbili kwa siku tumia sabuni yenye pH ya 6,5 kunawaia na water based facial cream kupaka usoni,Ukitumia ointment yenye mafuta mengi au mfano mafuta ya mgando inaworsen chunusi.
- Epuka kutumbua hizo chunusi au kuzigusa gusa
- Epuka kula vyakula vyenye viungo vingi,sukari nyingi na mafuta mengi
Ndugu zangu,kwa wale wenye chunusi za muda mrefu au matatizo ya ngozi na dokta wetu (Mungu ambariki saaaana)akamshauri atumie Clindamycin(Dalacin) basi usipoteze muda!fasta nenda kanunue hiyo dawa....binafsi nilipata machunusi kibao+ mba sugu+ nikawa na rangi mbili mbili usoni.....nikaenda Idara ya ngozi- KCMC wakaniandikia hiyo dawa!! Yaani ndani ya mwezi 1 tu nimerudia ngozi yangu ya utotoni,kiukweli nimependeza ( japo natakiwa niendelee kuitumia kwa miez mingine minne)
GHARAMA:-
Licha ya hii dawa kuwa nzuri saaaana,ila jipange.. Ni dawa ghari kiukweli.
Binafsi inanicost kama 120,000/=@mwezi.
NB:- Hakikisha umeangalia tarehe ya kutengenezwa na ku-expire maana siku kila kitu kinafanywa kisanii sanii.
Byeeee
Nilishajibu swali hilo...Rudi sehem za mwanzo za uzi huu!!Niliwahi kukuuliza dawa ya sunzua au wart kwa umombo lakini ulipotezea, haya na leo naomba majibu. Please
Candidemia ndio hio systemic fungus(fungus iliyopo kwenye damu).Je umeshajaribu kutibu hio fungus locally yaani kwa kutumia creams mfano?Dr.mimi nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri pamoja na tumbo kujaa gesi na kutopata choo kwa muda.Nlivyofanya vipimo hospital wakaniambia nina candidemia na nikapewa fluconazole kumeza mwezi mzima.lakini naona hazijanisaidia coz tatizo lilipungua kidogo baadae hali imejirudia na kuongezeka zaidi. Naomba unisaidie kama kuna dawa nyingine mbadala tofauti na fluconazole.Na je hii candidemia ni tofauti na systematic fungus?
Ahsante pia kwa kukazia ushauri wa dokta.
Kama unafahamu naomba unijuze; Ni hospitali gani kwa hapa Dar es salaam ni nzuri kwa magonjwa ya ngozi hususani chunusi?
Kuna vidonge vinaitwa maxman vya kuongeza nguvu za kiume vya kichina jamaa yangu anavitumia.naitaji juwa madhara yake kiafya
Docta nasubiri majibu tafadhali
Kuna sababu tofauti za kwann hukupata tiba mbadala!Dr.nashukuru sana kwa ku-respond maelezo yangu,naomba usichoke kutuhudumia.Kuhususu dawa ya kupaka nmetumia GENTRISONE cream.
Sorry,kuhusu FLUCONAZOLE kushindwa kumaliza tatizo na kama kuna dawa mbadala naona kama umesahau kunipa maelezo.Pamoja na maelezo yako mazuri uliyotupatia ktk kurasa za awali,unaweza kuongelea kuhusu kushindwa kwa FLUCONAZOLE na kama kuna dawa mbadala,plse!
Jinsi unavyonieleza ni kama ana maumivu maeneo ya kizazi,namshauri aende hospitali akafanyiwe check up.Je hali hio inatokea baada ya tendo la ndoa au inakuja wenyewe tu??Sio lazma awe amepata mlo,muda wowote tu na hali hii ilianza kumtokea akiwa mdogo (13years)
Maumivu yapo chini ya kitovu(yaani kati ya kitovu na ilipo jinsia-nadhani umenielewa vizuri)
Hasumbuliwi na gas tumboni.
Hicho kipimo hajawahi kufanyiwa.
Hellow NDAGLA,Hello Dr.
Mi nataka kufahamu haya;
1-Je Peripheral neuropathy iliyosababishwa na vitamin B deficiency inatibika kabisa mtu akarudi kwenye hali yake ya kawaida? (nazungumzia mtu aliyeko kwenye wheelchair hawezi hata kusimama)
2-Dawa zipi ni nzuri zaidi kwa mwenye hilo tatizo?
3-What's the cause of (GBS) Gorain Barre Syndrome[not sure with the spellings] na nini tiba yake?
Thanks in advance.
Kuna sababu tofauti za kwann hukupata tiba mbadala!
Aidha hukula dawa ipasavyo,dozi sahihi na ulimiss dose,hukumaliza tiba yote uliishia katikati.Ukifanya hivo fungus inakuwa sugu na haitibiki!Au inawezekana unahitaji tiba na antifungal ambayo ipo more potent. Hio fungus unayo muda gani?ulichukuliwa vipimo vya damu kabla hujaanza tiba?