Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 3,505
- 18,150
Miili yetu imejengwa kitofauti. Na sensitivity juu ya kitu hutofautiana kati ya mtu na mtu.Mbona wengine hawapati,
Haimaanishi kuwa hamna, ila sensitivity yake inaweza kuwa chini kulinganisha na wewe.
Kamwe hatuwezi kufanana Mkuu.