Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Mleta mada kama bado una kiu ya kusagwa mm nipo tayari kukusaga na kukuingizia liboro tamu kote kote.
 
usikatae mimi nimeshuhudia wanafunzi wa chuo mmoja baba ake paroko huko morogoro ila dar hakuna siku analala hostel na waganga wakienyeji anaenda bangi anavuta shisha usiseme kama moshi wa treni na alifeli kabisa hadi sasa umeshindwa kurudi kwako kwa mabadiliko na yy hajabadilika anapambana na jiji
Kama ni mtoto wa paroko ni shiidaa nyingine maana paroko haruhusiwi kunyandua wala kuwa na mtoto.
Kwa hiyo hapo malezi ni zero kabisa kwa huyo mtoto.
 
Hongera sana kwa ujasiri na kurubu pia!!
Kwahio saivi umeokoka kabisa na kuacha huo uchafu??
 
Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale nilijifunza usagaji, upo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia siri.

Mbali ya kusagana bado, nilikuwa na mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine. Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya wacha Mungu, nikiwa chuo nilijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa. Nimeshawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, nashukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chuoni. Kama hamna umuhimu wa binti yako kukaa hostel, kaa naye nyumbani ili awe salama.
Hicho chuo ulichosoma ukawa free kufanya hayo yote bila kuwa discontinued nazani nicha binafsi , ila pole mabinti acheni tamaa sichokiamini ni usagaji huku una mabwana wengi labda kama ulikuwa na pepo la ngono
 
Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale nilijifunza usagaji, upo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia siri.

Mbali ya kusagana bado, nilikuwa na mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine. Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya wacha Mungu, nikiwa chuo nilijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa. Nimeshawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, nashukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chuoni. Kama hamna umuhimu wa binti yako kukaa hostel, kaa naye nyumbani ili awe salama.
Mhh kweli ulikua mwanafunzi au mhalifu? Kwa matukio yote uliotenda. Nadhani dhambi zimekuzidi umri.
Kweli hufi kabla ujajitakasa.... Zidisha maombi kweli ulitenda makubwa ya maovu...
 
Dhambi haziondoi thamani ya mtu mbele za Mungu,tubu umrejee Mungu wako
martinlutherkingjr1(12).jpg
 
Mi mwenyewe nimeishtukia yaani uzaliwe kwenye familia ya dini halafu ufanye dhambi next level near to Mr devel himself....no punguza tangawizi
Kwa Nini?usiombe Kuna mabinti walikuja vyuoni watakatifu bwana weee ..waliyokuja kuyafanya mpk shetani alikua anashangaa,Hawa watoto wanaolelewa kwenye dini wakipinda wanapinda kweli kweli
 
Mwanaume yoyote ambaye ameoa mwanamke wa chuo basi ajue ameoa bomu siku yoyote litakuja kulipuka wale walitakiwa wawe single maza tu.
Sio wote wako waliotulia usipende ku-generalise mambo, Kuna watu wameoa wanawake ambao sio wachuo na ndo zimewashinda
 
Kama hujapitia maisha ya Chuo utasema ni Chai...
ila ukwel Mabinti wanaharibikia chuo
Anabanwa akiwa mdogo mpaka anakua akifika Chuo anautumia uhuru sawa sawa..
Nilikuwa na rafiki yangu Home kwao akilud likizo hata hatoki wanamlinda ila chuo anaishi kwa mshikaji😂😂😂unabaki kucheka tuu
 
Ebu nipeleke kwa mganga na mie nipata dawa ya kuvutia pisi kali.
Kuna mganga Magu ana mizizi ukitafuna huku unamsemesha mtoto wa kike yoyote lazima akubali kukufuata,labda tu kwa mcha Mungu.
Unaweza hata kumlaza kwenye mkeka hata kama katoka kwa waziri.
 
Kuna mganga Magu ana mizizi ukitafuna huku unamsemesha mtoto wa kike yoyote lazima akubali kukufuata,labda tu kwa mcha Mungu.
Unaweza hata kumlaza kwenye mkeka hata kama katoka kwa waziri.
Ebu nipe huyo mnganga huyu Kelsea lazima aisome namba
 
Back
Top Bottom