Paka Mweusi
Member
- Jan 31, 2012
- 9
- 1
Kwa watu tuliozaliwa karibu na mipaka ya nchi tulikuwa na nafasi kubwa ya kuhamia nchi za jirani kama vile kenya na uganda. Leo nimegundua bora ningeukana utz mapema kuliko kuongozwa na huyu ****** na jopo lake
Kwa watu tuliozaliwa karibu na mipaka ya nchi tulikuwa na nafasi kubwa ya kuhamia nchi za jirani kama vile kenya na uganda. Leo nimegundua bora ningeukana utz mapema kuliko kuongozwa na huyu ****** na jopo lake
wanyarwanda waliuana mamia kwa maelfu -- tukawacheka sababu tuna amani na utulivu
Wakenya wakatwangana vibaya mno - tukawacheka sababu tuna amani na utulivu
Leo hii wanyarwanda na hata jirani zetu wakenya wapo wapi?
Sasa vuneni amani yenu na utulivu wetu mliokuwa mnajidai nao kwenye mataifa ----- na hizi ndogo tu ni rasharasha tu zile za masika zaja -- watu mpaka mle PUMBA kama kuku maana unga kilo itafikia hadi 2500.
Poleni sana watanzania wangu ila kufa lazima mfe tu mpaka vikao wa wakubwa zenu viishe kule dodoma.
Kwa watu tuliozaliwa karibu na mipaka ya nchi tulikuwa na nafasi kubwa ya kuhamia nchi za jirani kama vile kenya na uganda. Leo nimegundua bora ningeukana utz mapema kuliko kuongozwa na huyu ****** na jopo lake