Kama hujui faida za raia wengi kuwa nchi za nje, angalia remittances EAC

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Kenya wanaonekana wapo vizuri sana upstairs! Wakati jirani zao wakibweteka kwa kuwa na ardhi kubwa na idadi kubwa ya watu, wao na viongozi wao wanachangamkia fursa zilizopo ng'ambo.

Kwa jicho la haraka haraka, inaonekana Kenya, Rwanda na Uganda zimeipita mbali sana Tanzania kwa raia wake kufaidi vya ughaibuni!

Ni nani aliyewaloga watawala wa Tanganyika wasijue umuhimu wa kwenda "nje?"

Angalia takwimu ya mwaka 2021. Hizi ndizo dola za Kimarekani zilizoingia nchi husika kutoka kwa raia wao wanaoishi ughaibuni:
1. Kenya, dola 3,718,000,000

2. Uganda, dola 599,300,000

3. Tanzania, dola 569,500,000

4. Rwanda, dola 246,000,000

Usije ukajisifia kuwa tumeipita Rwanda! Ukilinganisha ukubwa wa Rwanda na idadi ya raia wake, hicho kiasi ni kikubwa sana. Ingawa sijaangalia, lakini inawezekana na sisi tumeipita Burundi.

Kwa takwimu hiyo, unafikiri Dual citizenship ina faida au haina?

Nitarejea baada ya muda mfupi.
 
Kenya wanaonekana wapo vizuri sana upstairs! Wakati jirani zao wakibweteka kwa kuwa na ardhi kubwa, wao na viongozi wao wanachangamkia fursa zilizopo ng'ambo.

Kwa jicho la haraka haraka, inaonekana Kenya, Rwanda na Uganda zimeipita mbali sana Tanzania kwa raia wake kufaidi vya ughaibuni!

Ni nani aliyewaloga watawala wa Tanganyika wasijue umuhimu wa kwenda "nje?"

Angalia takwimu ya mwaka 2021. Hizi ndizo dola za Kimarekani zilizoingia nchi husika kutoka kwa raia wao wanaoishi ughaibuni:
1. Kenya, dola 3,718,000,000

2. Uganda, dola 599,300,000

3. Tanzania, dola 569,500,000

4. Rwanda, dola 246,000,000

Usije ukajisifia kuwa tumeipita Rwanda! Ukilinganisha ukubwa wa Rwanda na idadi ya raia wake, hicho kiasi ni kikubwa sana. Ingawa sijaangalia, lakini inawezekana na sisi tumeipita Burundi.

Kwa takwimu hiyo, unafikiri Dual citizenship ina faida au haina?

Nitarejea baada ya muda mfupi.
1. Diaspora kubwa ni dalili ya umaskini Kwa nchi wanazotoka. Eg. Tafuta diaspora ya Botswana ulinganishe na Uchumi wao.

2. Sio sifa watu wako kuhemea nje ya mipaka wanaojielewq hutengeneza mifumo rafiki na kuvutia wawekezaji na raia nchini mwao. Wewe unashabikia Wakenya kwenda kuolewa 🌈 ughaibuni aibu sana

NB: Ficha aibu ndogo ndogo
 
1. Diaspora kubwa ni dalili ya umaskini Kwa nchi wanazotoka. Eg. Tafuta diaspora ya Botswana ulinganishe na Uchumi wao.

2. Sio sifa watu wako kuhemea nje ya mipaka wanaojielewq hutengeneza mifumo rafiki na kuvutia wawekezaji na raia nchini mwao. Wewe unashabikia Wakenya kwenda kuolewa 🌈 ughaibuni aibu sana

NB: Ficha aibu ndogo ndogo
Sisi acha graduates wetu wabakie hapa hapa waendeshe bodaboda na kuwa madalali. Inatosha!
 
Nailinganisha Tanzania na Kenya!

Kwa mwaka 2021, Tanzania yenye ukubwa wa kilomita za mraba 945,087 ilikadiriwa kuwa na watu wapatao milioni 63, wakati jirani yake, Kenya, yenye ukubwa wa kilomita za mraba 582,646 ilikuwa na idadi ya watu wapatao milioni 53.

Pamoja na Tanzania kuizidi Kenya kiukubwa mara 1.6 na kiidadi ya watu mara 1.2, bado Kenya iliipita mbali sana kwa upande wa "maokoto" yaliyotumwa na raia wake waishio ng'ambo. Kenya iliizidi Tanzania mara 6.5.

Ndiyo kusema, ingawa Tanzania imeizidi Kenya kieneo na kiidadi ya watu, Kenya inaizidi sana Tanzania kwa "maokoto" kutoka kwa raia wake walio ughaibuni.

Hiyo inamaanisha nini?
✓ Wakenya wengi wapo smart zaidi upstairs kuwazidi Watanganyika na Wazanzibar?

✓ Wakenya wanajua kung'amua fursa ambazo Watanzania hawazioni?

✓ Wakenya ni wazalendo zaidi kwa nchi yao kuwazidi Watanzania?

✓ Wakenya ina idadi kubwa zaidi ya raia wake ughaibuni kuizidi Tanzania?
 
Suala la Kenya kuwa na Diaspora kubwa kuliko Tanzania, sio wingi wa Akili bali ni NI HISTORICAL ISSUE AMBAYO ILITOKANA NA 1. BRITISH COLONIALIST KUWEKEZA ZAIDI MAKAMPUNI YAO KENYA KULIKO TANZANIA NA HIVYO KUTENGENEZA BASE YA SOCIAL INTERACTION YA WAKENYA NA WESTERN WORLD & 2. UTOFAUTI WA SERA ZA NCHI HIZI HURU. Sera za kijamaa zilidumaza ubunifu, zilizuia wawekezaji wa kigeni na hivyo kudumaza mahusiano ya kijamii kati yetu na ulaya na tulijiegemeza zaidi Mashariki i.e China kinyume kabisa na wenzetu Kenya waliokumbatia ubepari na sera zenye kuelekea magharibi zaidi.
 
Akina dada na wamama wa kikenya wengi huwa busy kutafuta short cut ya maisha kwa kuolewa na wazungu huko nje,...........! Na wazungu wanajulikana kwa shughuli yao ya kula, small.
Kwa hapo umewasafia au umewaponda?

Kwa kuzingatia wingi wa raia wa Tanzania na remittance ya mwaka 2021, inamaanisha hata Rwanda na Uganda zimeipita Tanzania.

Kwa nini nchi zote hizo ziipite Tanzania? Hiyo ni kawaida?
 
Kwa hapo umewasafia au umewaponda?

Kwa kuzingatia wingi wa raia wa Tanzania na remittance ya mwaka 2021, inamaanisha hata Rwanda na Uganda zimeipita Tanzania.

Kwa nini nchi zote hizo ziipite Tanzania? Hiyo ni kawaida?
Tanzania ina aina ya uchoyo fulani kwa raia wake, kuna wakati fulani huko nyuma restrictions za kipuuzi za kuzuia watu wasitoke zilikuwa N mkazo mkubwa mno, mpaka kufikia watu kuwa wanazamia kwenye mameli bila kujua wanakwenda wapi?, ni vizuri taifa kuachia kwa wepesi kabisa raia kuondoka ngambo, ukizingatia hapa nyumbani ajira ni ngumu mno, watanzania wasukumwe waende ngambo kimaksudi endapo watakuwa na vigezo na taaluma zinazoitajika huko ngambo.
 
Nailinganisha Tanzania na Kenya!

Kwa mwaka 2021, Tanzania yenye ukubwa wa kilomita za mraba 945,087 ilikadiriwa kuwa na watu wapatao milioni 63, wakati jirani yake, Kenya, yenye ukubwa wa kilomita za mraba 582,646 ilikuwa na idadi ya watu wapatao milioni 53.

Pamoja na Tanzania kuizidi Kenya kiukubwa mara 1.6 na kiidadi ya watu mara 1.2, bado Kenya iliipita mbali sana kwa upande wa "maokoto" yaliyotumwa na raia wake waishio ng'ambo. Kenya iliizidi Tanzania mara 6.5.

Ndiyo kusema, ingawa Tanzania imeizidi Kenya kieneo na kiidadi ya watu, Kenya inaizidi sana Tanzania kwa "maokoto" kutoka kwa raia wake walio ughaibuni.

Hiyo inamaanisha nini?
✓ Wakenya wengi wapo smart zaidi upstairs kuwazidi Watanganyika na Wazanzibar?

✓ Wakenya wanajua kung'amua fursa ambazo Watanzania hawazioni?

✓ Wakenya ni wazalendo zaidi kwa nchi yao kuwazidi Watanzania?

✓ Wakenya ina idadi kubwa zaidi ya raia wake ughaibuni kuizidi Tanzania?
Watanzania wanawazidi Kenya hata mara kumi Kwa hela zinazoingia kupitia diaspora wao,Kinachofanyika watanzania hawatumii mifumo rasmi ya kutuma hela,wanavyofanya ni Ile nipe nikupe,mfanyabiashara ana hela bongo watu wanabadilishana,unawekewa bongo naww unamuwekea katika nchi husika,

Transactions za mfumo huo Ni Billions nakwambia
 
Suala la Kenya kuwa na Diaspora kubwa kuliko Tanzania, sio wingi wa Akili bali ni NI HISTORICAL ISSUE AMBAYO ILITOKANA NA 1. BRITISH COLONIALIST KUWEKEZA ZAIDI MAKAMPUNI YAO KENYA KULIKO TANZANIA NA HIVYO KUTENGENEZA BASE YA SOCIAL INTERACTION YA WAKENYA NA WESTERN WORLD & 2. UTOFAUTI WA SERA ZA NCHI HIZI HURU. Sera za kijamaa zilidumaza ubunifu, zilizuia wawekezaji wa kigeni na hivyo kudumaza mahusiano ya kijamii kati yetu na ulaya na tulijiegemeza zaidi Mashariki i.e China kinyume kabisa na wenzetu Kenya waliokumbatia ubepari na sera zenye kuelekea magharibi zaidi.
Utofauti wa Sera wakati na baada ya Uhuru ndio imeifikisha Tanzania hapa tulipo leo, umasikini mwingi,ujinga mwingi,miundombinu mibovu,umeme shida,Bomu la ajira na mwisho kutuzalishia machawa wengi wanatukuza binadamu wenzao zaidi ya miungu yao.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ina aina ya uchoyo fulani kwa raia wake, kuna wakati fulani huko nyuma restrictions za kipuuzi za kuzuia watu wasitoke zilikuwa N mkazo mkubwa mno, mpaka kufikia watu kuwa wanazamia kwenye mameli bila kujua wanakwenda wapi?, ni vizuri taifa kuachia kwa wepesi kabisa raia kuondoka ngambo, ukizingatia hapa nyumbani ajira ni ngumu mno, watanzania wasukumwe waende ngambo kimaksudi endapo watakuwa na vigezo na taaluma zinazoitajika huko ngambo.
Dada zenu (Diaspora) wapo Oman, Saudia, uturuki, Lebanon, India na China wakiuza vipochi. Hakuna restrictions zote kwenda nje.
 
Kenya wanaonekana wapo vizuri sana upstairs! Wakati jirani zao wakibweteka kwa kuwa na ardhi kubwa na idadi kubwa ya watu, wao na viongozi wao wanachangamkia fursa zilizopo ng'ambo.

Kwa jicho la haraka haraka, inaonekana Kenya, Rwanda na Uganda zimeipita mbali sana Tanzania kwa raia wake kufaidi vya ughaibuni!

Ni nani aliyewaloga watawala wa Tanganyika wasijue umuhimu wa kwenda "nje?"

Angalia takwimu ya mwaka 2021. Hizi ndizo dola za Kimarekani zilizoingia nchi husika kutoka kwa raia wao wanaoishi ughaibuni:
1. Kenya, dola 3,718,000,000

2. Uganda, dola 599,300,000

3. Tanzania, dola 569,500,000

4. Rwanda, dola 246,000,000

Usije ukajisifia kuwa tumeipita Rwanda! Ukilinganisha ukubwa wa Rwanda na idadi ya raia wake, hicho kiasi ni kikubwa sana. Ingawa sijaangalia, lakini inawezekana na sisi tumeipita Burundi.

Kwa takwimu hiyo, unafikiri Dual citizenship ina faida au haina?

Nitarejea baada ya muda mfupi.

Dual citizen ina faida kwa nchi kubwa zenye uchumi imara kwa nchi masikini ni janga kubwa
 
Nailinganisha Tanzania na Uganda:

Hii ni takwimu ya mwaka 2021 ya Uganda yenye ukubwa wa kilomita za mraba 241,038 ambapo kwa mwaka huo, ilikadiriwa kuwa na watu 45,850,000.

Hiyo inamaanisha kuwa Tanzania
inaizidi Uganda kieneo mara 3.9 na kiidadi ya watu mara 1.4.

Pamoja na kuizidi Uganda kikubwa na kwa idadi ya watu, bado Uganda iliizidi Tanzania mara 1.05 kwa "maokoto" yaliyotumwa na raia wake waishio ng'ambo.
 
Back
Top Bottom