lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,117
Wewe una msongo wa mawazo wa kukosa mtoto maana ulicho andika utadhani ndiyo mhusika!
HAHAHAAAAAAAAAAA! Pole sanaaa, mwenzio kwetu tuna uzaziii ni balaaa. Mpaka nimeweka vijiti vya 5 years. Upo hapo! Bado sijazalishwa ki LAFA.:lol:. Mi niishi kwa mahesabu na ovary zangu zipate tabu Thubutuuuuuuuuu!