Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 903
- 1,175
Wanawake wa Kisukuma mixer Mnyantuzu wanapigwa Chale aka Eleven mwili mzima hao, washirikina hatare halafu wao sasa wako comfortable na ushirikina kama Mdigo na Baiskeli.
Kwanza vijana ambao hamjaoa please ukitaka kuoa jaribu kuoa karibu na zone.yenu au nyumbani kwenu kabisa kuliko.kuoa.far away na.pia ukitaka kuoa mwanamke sahihi ni mwenye hofu ya mungu kabisa aisee
Yamenikuta nilioa mwanamke kutoka kanda ya.ziwa.huko.wale.waupeee na wanao nyoa fanki wale aisee hawa wanawake.sio poa kabisa ila nanideclare interest sio wote ila.most of them ni hizo yaani ukimuoa kama wewe si mtu na kabila lao utakiona chamtema kuni dadeki sio poa kabisa
Kwanza ameenda kwao kwa sababu ni mgonjwa ila.sasa wakati wakurudi.amenipa masharti eti natakiwa kurudi na mganga wa kienyeji kisa eti kwasababu yeye ni mgonjwa hatakiwa kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee anatakiwa kubeba dawa eeeeh whaaat? It is madness.😧😧
Sijaona watu hawa wana hasira balaa yaani yeye kurusha ngumi kwenye kawaida sasa najiuliza angeolewa na mkabila mwenzie angefanya huu ujinga? Kwasababu mimi ni kabila tofauti na yeye? Halafu ukiangalia mahari ni kubwa sasa kuna tofauti gani na kuoa hawa wanawake wa mahari rahisi? Binti lina hasira balaa
Mtu anakuuliza mshahara wako ni shilingi ngapi? Na unatoka tarehe ngapi?😧😧 and then anauliza nipe namba ya muuza duka wako for what? Hawa watu kwa ushirikina usiseme ni hatari sana aisee yaani kabisa anataka kuja na mganga wa kienyeji kisa eti hatakiwi kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee mbebaji huu si ushirikina huu?
Isitoshe huu binti ni mdogo sana sasa amejuaje yote haya? Sio kama yuko coaching na ndugu zake?wanataka kuniua? Au wanataka kunikama nisiwe na kauli kwa huyu binti yao?
Najuta na i'm going to divorce her
Wao ukiwauliza ni kabila gani?Masahihisho hakuna kabila la wanyantuzu hapa Tanzania ila tuna wasukuma wanaotokea ntunzu
Malalamiko ya akina Juniors wala si Me.Malalamiko ya wanaume yamekuwa ni mengi sana shida Nini mbona tunajizalilisha sana mitandaoni
Hii ingekua poa sana🤣Ni vizuri ungekuja nae humu JF tuwasikilize pande zote 2. Itaepusha kukupa ushauri ilhali kuna mambo umeficha
Msubhati maana yake nini mkuu?Karibu Kanda maalum. Jumamosi hatufanyi kazi. Pambana na huyo Msubhati Mura
Hahahaa jina refu wallah ulakozeUyo mganga ndio mmewake wa utotoni hivyo wanakuja kukomba mali zako kua makini unaenda kugeuzwa msukule soon
Ni Mimi kavyinabhuhiye kutoka simiyu