Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,520
- 764
Tetra ndoa ni jambo jema
ndoa ni kuheshimiana,kuvumiliana
ndoa ina magumu mengi inatakiwa kugangamala
ila ndoa za siku hizi talaka hata wadada wanatoa kama mme
haeleweki!!pia kila mtu ajiridhishe na muonekano wa mwingine maana
siku hizi unakuta mwanaume sura ka zombie akiwa na hela tu mdada hachomoi
anaolewa thn mwisho wa siku ndoa inakufa coz hapakua na upendo wa kweli!!
::
ahaaa kumbe,,mie kisura changu bora ya zombie,,hela ndo ngumu kama lugha ya kichina.
Bora leo nimejua sababu
thanks Passion Lady
=
Last edited by a moderator: