Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimesubiri miaka 4, walituzuia kujenga nyumba kwenye maeneo/viwanja vyetu ati kuna mradi wa kuiendeleza Kigamboni . Wamepita na kuchukua majina kwa ajili ya tathmini lkn majina yetu wengine hayakutoka. Wakatuambia tupeleke majina na picha lkn bado hakuna kilichofanyika. Ukizingatia si wote ni tunaishi Dar na utendaji mbovu wa watendaji serikalini, kufuatilia kila wakati inakuwa ngumu sana.
Sasa najitoa muhanga, nimeamua kujenga vivyo hivyo, LIWALO NA LIWE, TUTAJUANA SIKU WAKIJA KUTUBOMOLEA NYUMBA ZETU.
Sasa najitoa muhanga, nimeamua kujenga vivyo hivyo, LIWALO NA LIWE, TUTAJUANA SIKU WAKIJA KUTUBOMOLEA NYUMBA ZETU.