Dukani inaweza kuwa 80k+... Lakini pia kuna zile used pale Karume machinga.. beba laptop katest kabisaDDR4 8GB bei gani wakuu? RAM ya Laptop.
Ya zamani inapiga kazi kama mpya au ufanisi unapungua?Dukani inaweza kuwa 80k+... Lakini pia kuna zile used pale karume machinga.. beba laptop katest kabisa
Inapiga kazi fresh tu lakini si unajua kununua kitu used ni kubetYa zamani inapiga kazi kama mpya au ufanisi unapungua?
Ya zamani inapiga kazi kama mpya au ufanisi unapungua?
Sema ram ngumu kuharibika ovyo ovyo, ukipata inayopiga kazi ni likely utakaa nayo miaka.Inapiga kazi fresh tu lakini si unajua kununua kitu used ni kubet
Nenda machinga mkuu, ddr2 siku hizi hazina issue unaweza pata hata 10,000 ama chini ya hapo.Habari Wanajamvi Naitaji Ram ya Computer DDR2 Mwenye nayo anicheki
Ddr2 nyingi ni 1gb ama 2gb ngumu kupata gb nyingiGB ngapi naweza pata Kwaiyo 10