Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,011
- 1,962
Kesho Tarehe 23 September naaza safari ya kweda Dar. kwa ajili ya matibabu ya mtoto wangu aliyezaliwa na tatizo la mdomo sungura, nawashukuru sana wadau kunipa ushauri, maoni na kunipatia namba za mawasiliano ya moja kwa moja na CCBRT naaza safari kesho mimi na mke wangu bure kabsa kwa mama na mtoto na wanasema matibabu ni bure,
aiseee hapa ndipo siamini kabisa ila naomba kweli iwe hivyo
aiseee hapa ndipo siamini kabisa ila naomba kweli iwe hivyo
uliopitiliza.
Hivyo, ni vyema kuufuatiliaji wa karibu pia na watoa huduma ya afya kwa kadri ya makuzi yake