Naishukuru sana JF wadau na CCBRT Dar es Salaam

Shy land

JF-Expert Member
Jul 28, 2013
6,024
1,960
Kesho Tarehe 23 September naaza safari ya kweda Dar. kwa ajili ya matibabu ya mtoto wangu aliyezaliwa na tatizo la mdomo sungura, nawashukuru sana wadau kunipa ushauri, maoni na kunipatia namba za mawasiliano ya moja kwa moja na CCBRT naaza safari kesho mimi na mke wangu bure kabsa kwa mama na mtoto na wanasema matibabu ni bure,

aiseee hapa ndipo siamini kabisa ila naomba kweli iwe hivyo
uliopitiliza.

Hivyo, ni vyema kuufuatiliaji wa karibu pia na watoa huduma ya afya kwa kadri ya makuzi yake
 
Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF.

Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura.

Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo la kuweza moja, kufahamishwa kama kuna tatizo mtoto atakalolipata badaye kutokana na kuzaliwa na kilo nyingi hivyo jambo ambalo siyo yakawida kwa elimu yangu na uzoefu wangu kwa watoto.

Pili niliambiwa zahanati kuwa mtoto akifikisha kilo kumi nimpeleke hospital kubwa ili kufanyiwa operation ya tatizo la mdomo sungura, kwa watu wanaofahamu hosptali nzuri na muda gani sahihi wakupeleka mwanagu wanijuze Tafadhali sana.

Na kama yupo mdau ambaye ashawahi kuwa na tatizo kama hili naomba, naomba sana sana tuwasiliane ili anijuze kuhusu utaratibu mzima na ngarama za zoezi nzima la operation.
 
Vile vile Mshukuru naDr Slaa mwanzilishi wa Hospital ya CCBRT
 
Huyu mwamba hatakusamehe akija kuiona hii picha tena akiwa hana shati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom