Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Sikukimbii nitahakikisha mashankupe hayapo kusudi wasikusumbue
Loooh! Nimestuka!
Sikukimbii nitahakikisha mashankupe hayapo kusudi wasikusumbue
Kloro ameshikilia daftari anatiki kila anayechukua sahani ya ubwabwa..................
Haya we na huyo wa kwako ulompata, ndoa lini?
Kloro ameshikilia daftari anatiki kila anayechukua sahani ya ubwabwa..................
Msidharau ajira za watu Kloro uchaguzi ukiisha anarudi na mchele na hela ya kutoshaKloro ameshikilia daftari anatiki kila anayechukua sahani ya ubwabwa..................
kama kloe na Lamar vileMiezi miwili iliyopita ?
Na sasa mko kwenye penzi tamu na mwezi ujao ndoa ... ndani ya miezi miwili tu oops sijawahi ona ..
Hongereni sana mungu awatangulie katika hili
jamani Asha,si anaonyesha msisitizo?FINALLY!!! ila ingependeza woote muwepo hapa tuwapongeze woote.... Hongera Saana bana. (kulikua na haja ya kuandika hapo in bold??)
kupitia mmu pia?Mi mwenyewe nashukuru nimepata mume.
kupitia mmu pia?
ama kweli ni muhimu tumwone invisible tuzidi kumwongezea michango ili aendeleze libeneke la jf,maana.........humu humu tena love connect.
Na kwanini usiaminiduh!makubwa
hivi hapa JF mtu anaweza pata mchumba???????? sitaamini
Taarifa rasmi nilizozipata zinasema Klorokwin kaoa huko Igunga ushahidi huu hapa chinimnamvunjia heshima mheshimiwa.
ama kweli ni muhimu tumwone invisible tuzidi kumwongezea michango ili aendeleze libeneke la jf,maana.........
Daaah mwenzenu sijawahi kusikia ndo nasikia toka JF .. zamani nilikuwa najua kuna vile vi mambo vya kujizungusha mara miezi miwili imekatika
kweli kizuri chajiuza
Hii ndoa ya wana JF tuweekeeni spread sheet tuanze pledge zetu mungu ni mwema