MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,214
- 2,401
usidanganyike dia, tafuta wa kukuliwaza la sivyo utarun crazy, mwenzio yalinikuta tena makubwa kuliko yako, lakini once nilipata faraja mahala pengine mbona ndoa inadumu na ina zaidi ya miaka 12, go out there and find a someone, haitachukua muda kabla hujasahau shida zote.
Hayaka jamani mbona kule kwenye cheating sikukusikia, ulisemaje vile....