Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Jairo, Jairo, Jairo, Jairo...................... Acheni kumuonea bure baba wa watu: kila alichofanya ni maagizo ya gvt, hata shelukindo alileta nyaraka za wizara kwa maagizo ya serikali ili wapinzani wasipatie umaaru hapo. Tuangalie issues kwa usahihi, mbayawetu ni JK.