hiyo ndio hali halisi kwa sasa,nape na sitta ndio wanafiki.Kazi bado pevu tunakoelekea lazima tu ngumi zipigwe.
kalipwa pesa na hao jamaa ili akawasemee hoko kwao bukoba. Kwa kifupi muiran rostam amekuwa mbuzi wa kafara.
makundi yaliyoonesha nia ni mengi: kundi la wazanzibari(Husen Mwinyi+shein), kundi la vijana(Januari makamba) kundi la wabara(Mr Maige), makundi ni mengi tu na yote yanastahili kuchukua fomu ili ngoma iwe tamu.CCM iwaruhusu watu wenye NIA ya kugombea Urais 2015 watangaze NIA zao hizo sasa. Tunataka Watanzania tupate muda wa kutosha kuwachambua. Tayari makundi mawili yako wazi. Lile la Sitta na lile la Lowassa makundi ambayo kwa maoni yangu hayana mtu anayestahili hata kuchukua fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
andika hayo maswali ili yaliyoulizwa ili tujue kama bukoba kuna watu wenye akiri[/QUOTE]
NADHANI WENYE AKILI WANATOKA KILIMANJARO TUUU TENA KULE UCHAGANI.......
what a collective abuse!!!!!!!!!??????????
Kalipwa pesa na hao jamaa ili akawasemee hoko kwao Bukoba. Kwa kifupi Muiran Rostam amekuwa mbuzi wa kafara.
Naibu wa mambo ya ndani Khamis Kagasheki amesema CCM haiwezi kujisafisha kwa wananchi kwa kung'ang'ania Chenge na Lowassa kufuata mkondo wa Rostamu Azizi.
Ameyasema hivi punde katika mkutano na wananchi wa Bukoba maeneo ya soko kuu.
taratibu tutaanza kuwatambua waliopo kwenye kambi ya el na waliopo kwenye kambi ya akina 6. Mwisho tutawatambua waliopo kwenye kambi ya jk. Comedy itakuwa tamu pale atakapoibuka katibu mkuu akatangazia umma kwamba chama hakina makundi wala mgawanyiko wowote. Kisha hao wagombea watajitokeza na kuanza kuchafuana. Mtoa rushwa mzuri na mwenye mtandao mkubwa atashinda kisha atatangazwa mgombea akiwa ameshachafuliwa sana na wenzie. Kama atagombea na dr slaa, atashindwa na kura hazitawezekana kuchakachua! Ugomvi mkubwa utaibuka kati ya polisi na wananchi, wakurugenzi wa wilaya na wagombea. Mwisho ccm itaanguka na kuwa chama cha upinzani.
Ni mtazamo tu!
naibu wa mambo ya ndani khamis kagasheki amesema ccm haiwezi kujisafisha kwa wananchi kwa kung'ang'ania chenge na lowassa kufuata mkondo wa rostamu azizi.
Ameyasema hivi punde katika mkutano na wananchi wa bukoba maeneo ya soko kuu.