MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,929
- 8,915
Makampuni yanakata pesa Kama gharama ya huduma wanayotoa.Baada yakuangalia hiyo video naona kama Zungu yuko sahihi kwenye hili.
Haya serikali inakata Tozo kwa huduma IPI hapo?
Makampuni yanakata pesa Kama gharama ya huduma wanayotoa.Baada yakuangalia hiyo video naona kama Zungu yuko sahihi kwenye hili.
Toeni tozo mambo yaende,serikali inahitaji pesaWewe na zungu wako mliwaho kuona wapi mtoa huduma anachukua kidogo au sawa sawa na serikali? Maana mabenk na mitandao ya simu ndio watoa huduma, wanarun systems, wanalipa wafanyakazi, ikitokea hasara kwa mteja wao ndio watailipa sasa inawezekanaje wagawane sawa au serikali ichukue zaidi?
Haya ni mawazo ya ajabu kabisa
Na hayo mawazo yake ya kuweka tozo kwenye mabundle ni mawazo ya ajabu.
Nchi hii inabidi iwahimize watu watumie internet zaidi maana dunia ndiko inahamia huko.
Sasa hivi walau na sisi ndio tunaanza catchup vijana wanajitengenezea kipato huko kwa kuzalisha contents, kufanya biashara wengine kupata maarifa lakini bado pia hatujafika mbali maana hatuna hata startups wala innovations za maana huko.
Kufanya internet ionekane ni anasa na mawazo mufirisi
Msikilize vizuri.Makampuni yanakata pesa Kama gharama ya huduma wanayotoa.
Haya serikali inakata Tozo kwa huduma IPI hapo?
Were ndio umsikilize vizuriMsikilize vizuri.
Elimu ya ovyo ndio chanzo Cha yote haya watu wanatamka maneno bila hata kufikiria leo huyu kasema hivi kesho yule kasema vile ili mradi ni vurugu mechi ombwe la uongozi kwa Sasa ni kubwa mno
- Biashara ifanye benki, Ila mnufaika wa kwanza awe serikali.
- Kwa nauli hizi, si rahisi kupata wawekezaji wa maana.
- Viongozi wapime uzito na madhara ya kauli zao kwenye uwekezaji, usalama wa mitaji, maazimio ya kimataifa na kikanda, n.k
- Haya maelekezo yanakwenda kuvuruga Biashara, tunarudi zama zile kwa kasi ya 4G.
- Mh. Samia watch out!
Kaichakaza kivipi ?Wanakwambia Jenerali Ulimwengu ndo kaichakaza hiyo wilaya ya ilala hadi leo 😆 😆
Kwa kweli !!Elimu ya ovyo ndio chanzo Cha yote haya watu wanatamka maneno bila hata kufikiria leo huyu kasema hivi kesho yule kasema vile ili mradi ni vurugu mechi ombwe la uongozi kwa Sasa ni kubwa mno
Kuna uzi nimeku-tag kaka utaona.Kaichakaza kivipi ?
Nimeuona Shukran Bro !Kuna uzi nimeku-tag kaka utaona.
Ubinafsi wa wenzetu hawa hawawezi kamwe kuongelea haya Mkuu. Ni mambo ya ajabu kabisa!Hivi kumbe huyu Zungu ni mjinga kiasi hiki.
Wananchi tuamke, tunaibiwa na watu ambao hawana akili wala huruma..hovyo kabisa watu hawa!
- Kwa nini hagusii kabisa ma V8 wanayoendesha ambayo kila moja gharama yake ni karibia 600,000,000/= kila moja?
- Kwa nini hagusii kabisa posho (300,000/= kwa siku) wanazolipwa kwa kutimiza wajibu wao kama Wabunge huku wakiendelea kulipwa mishahara ya mamilioni ya kodi zetu?
- Kwa nini hagusii kabisa swala la wabunge kutolipa kodi licha ya kulipwa hayo mabilioni na mamilioni?
- Je Zungu anataka kusema hizo kampuni hazilipi kodi?
Duh !!Huyu kiumbe Zungu ameshakomaa kwa ajili ya kuvunwa israili aje afanye yake tumeuchoka upuuzi wake
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndio yalele ya label ya WCB msanii anataka apewe share sawa sawa na Mmiliki wa label diamondWewe na zungu wako mliwaho kuona wapi mtoa huduma anachukua kidogo au sawa sawa na serikali? Maana mabenk na mitandao ya simu ndio watoa huduma, wanarun systems, wanalipa wafanyakazi, ikitokea hasara kwa mteja wao ndio watailipa sasa inawezekanaje wagawane sawa au serikali ichukue zaidi?
Haya ni mawazo ya ajabu kabisa
Na hayo mawazo yake ya kuweka tozo kwenye mabundle ni mawazo ya ajabu.
Nchi hii inabidi iwahimize watu watumie internet zaidi maana dunia ndiko inahamia huko.
Sasa hivi walau na sisi ndio tunaanza catchup vijana wanajitengenezea kipato huko kwa kuzalisha contents, kufanya biashara wengine kupata maarifa lakini bado pia hatujafika mbali maana hatuna hata startups wala innovations za maana huko.
Kufanya internet ionekane ni anasa na mawazo mufirisi