I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,787
- 10,181
"Wananchi wengi wanalalamikia kodi iliyowekwa na Serikali, hawatizami mapato yanayokatwa na benki, hawatizami mapato yanayokatwa na kampuni za simu. Lazima iwe regulated [idhibitiwe].”
"Benki unatuma pesa wanachukua pesa nyingi zaidi ya Serikali kwa asilimia kubwa sana, lakini Serikali inayojenga madarasa ndiyo inalaumiwa. Kwa hiyo kuna kizingiti ambacho kinatengenezwa kuipiga dongo Serikali wakati pesa wanachukua watu wengine."
-Naibu Spika Mussa Zungu.
"Benki unatuma pesa wanachukua pesa nyingi zaidi ya Serikali kwa asilimia kubwa sana, lakini Serikali inayojenga madarasa ndiyo inalaumiwa. Kwa hiyo kuna kizingiti ambacho kinatengenezwa kuipiga dongo Serikali wakati pesa wanachukua watu wengine."
-Naibu Spika Mussa Zungu.