OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Niliagiza gari kupitia agent wa hapa Dar es Salaam tangu mwezi wa tatu, ameniambia kuwa meli imefika tangu tarehe 21 mwezi wa tano lkn haijapeleka manifesto TRA ili iweze kulipiwa kodi jmaani kuna ukweli ndani yake?
Ananiweka roho juu kweli au ndo nimeibiwa, km kuna mtu anaweza nisaidia ani Pm nitampa donge nono
Ananiweka roho juu kweli au ndo nimeibiwa, km kuna mtu anaweza nisaidia ani Pm nitampa donge nono