mi huwa sijui naona vipi mtu kutangaza kuwa anataka mtu wa kuzaa nae, mke, mchumba kama nafasi ya kazi vile. ila nimtazamo wangu tu
@Merritta upo? Hujui nayo nikazi kama kazi nyingine? Think loud!
Bazazi!
mi huwa sijui naona vipi mtu kutangaza kuwa anataka mtu wa kuzaa nae, mke, mchumba kama nafasi ya kazi vile. ila nimtazamo wangu tu
Hahahaaaaaa.........ni kitu ambacho bado najiuliza hivi ni kweli hawa wanaotoa haya matangazo ya kutafuta wenza wako SERIOUS kabisaaaaaa au wanachangamsha genge???!!!
Mi jamani nimeshawahi kurespond kwa wanaume wanaotangaza wanahitaji wachumba wa kike humu JF.. Cha ajabu tuki meet inatokea mmoja kati yetu hajaridhika na mwonekano wa mwenzake..Lol.. Ikitokea mi nimeridhika nakutana na ambaye hajaridhika na mie..Na nikikutana na aliye ridhika na mie, mimi nakuwa sijaridhika naye... Ni vichekesho kwa kweli..
Lol.....acha utani bana neylu mwenzio nataka kujua kama ni kweli. Nna mtu anatafuta binti sasa kama hapa wanapatikana naweza mwambie awe member na yeye ajaribu bahati yake ati
Tatizo ni kwamba wakina dada wengi umezoea kudanganywa kwa kulembalemba maneno, mtu akiwa straight forward mnamwona mwongo au hayuko serious, huo siio utani wala kufurahisha genge, mbali na hayo ndo nitakuwa mwongo.Hahahaaaaaa.........ni kitu ambacho bado najiuliza hivi ni kweli hawa wanaotoa haya matangazo ya kutafuta wenza wako SERIOUS kabisaaaaaa au wanachangamsha genge???!!!