Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Mi mtu wa watu bana!!Mshikaji una sound mbaya kinoma, nilifikiri ni jukwaa la siasa peke yake kwikwi kwikwi kwikwik kwikwi heeeeeeeeh.
Mi mtu wa watu bana!!Mshikaji una sound mbaya kinoma, nilifikiri ni jukwaa la siasa peke yake kwikwi kwikwi kwikwik kwikwi heeeeeeeeh.
mimi nataka tuzae ila ndoa no
Umeshawahi pata mtoto, hata wa kusingiziwa? Je kama risasi zako hazina hasira? Namaanisha kama unajijua huwezi bebesha mtu ujauzito?
Ukaishia kukamua mzigo tu, mlengwa akuchukulie hatua gani?
Vijana wa mjini mna mambo, ukute nyoka wako sumu zake haziui, Nakukeketa kwa mikono.
Kwa ujiko huo uliompakulia Rejao bila ya shaka anakaribia kuchukua Ikulu kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeehrejao bni mtu mkubwa sana hapa hata invisible na paw wanajua akilogg off hata server huwa inagoma utaona tu inaandika we will be back after 5 min ukiona hivo jua rejao kasign outso omba asife maana itakuwa ndo mwisho wa jf
Kama sitaki basi mimi mbishi.Mi mtu wa watu bana!!
Hiyo bhange unayotumia inakupa akili sana! Nigawie na mie kiduchu,lol!
Kama sitaki basi mimi mbishi.
Nichukue mara ngapi?....Kwa ujiko huo uliompakulia Rejao bila ya shaka anakaribia kuchukua Ikulu kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeeh
Umeona eeh? Dah.......Kongosho kaona mbali sana na hayo maswali yake!
halafu kweli jamaa linaweza kukuchakachua tu lifaidi kwanza siku hzi nasikia wanaume nao wanameza vidonge vya kuzuia mimba,linameza then linakuja kukuchakachua mweelabda tufanye artificial inserminationHiyo bhange unayotumia inakupa akili sana! Nigawie na mie kiduchu,lol!
tatizo watu waanaangalia avatar mkuuNichukue mara ngapi?....
Rejo yaani tayari umeshajimilikisha!!!! Halafu mtoto smile mpaka sasa sijaona pingamizi lake.Nichukue mara ngapi?....
Hivyo unakata kusema upo tofuati sana na avataor yako?tatizo watu waanaangalia avatar mkuu
Hawajui tu...natamani wajue siku moja..lol!tatizo watu waanaangalia avatar mkuu
Hainogagi kwa binadamu hiyo.halafu kweli jamaa linaweza kukuchakachua tu lifaidi kwanza siku hzi nasikia wanaume nao wanameza vidonge vya kuzuia mimba,linameza then linakuja kukuchakachua mweelabda tufanye artificial insermination
Kwanini apinge eboo... nishamlilia sana..huoni hizi posts zote? asilimia kubwa zipo directed kwake! Ana PM zangu kama 1000 hiviRejo yaani tayari umeshajimilikisha!!!! Halafu mtoto smile mpaka sasa sijaona pingamizi lake.
tatizo watu waanaangalia avatar mkuu
Hivyo unakata kusema upo tofuati sana na avataor yako?
Hawajui tu...natamani wajue siku moja..lol!
nampenda rejao wewe he is the reason for global warming in my heartHapa inaonekana kuna siri kubwa hebu ngoja nichokonoe kwanza heeeeeh
Duuuuuh kumbe ndiyo maana Rejao anavurumisha post bila woga aiseeeeeeee. Kupendwa kuzuri bwana ngoja na mimi ni hunt wangu atakenipenda na kuanzia sasa mtu atayeiona post jinsia tofauti nami akinipenda aniPM tutete kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh.nampenda rejao wewe he is the reason for global warming in my heart
Afadhali umesema my sweet wangu...hapa nasikia tu nywele zinacheza cheza kila nikisoma maneno yako!nampenda rejao wewe he is the reason for global warming in my heart
Jitahidii...utampata tu! wapo wengi sana, si unajua tena wao wametuzidi kwa wingi?Duuuuuh kumbe ndiyo maana Rejao anavurumisha post bila woga aiseeeeeeee. Kupendwa kuzuri bwana ngoja na mimi ni hunt wangu atakenipenda na kuanzia sasa mtu atayeiona post jinsia tofauti nami akinipenda aniPM tutete kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh.